Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #281
Watu ni hohehahe,wenye tuhela kidogo walibahatisha enzi za Jk kwa sasa karibu wote ni nyumbu ndio maana huwezi ona vitu vya maana kwa ground vinafanywa na mtu binafsi coz huku kuna Kim mkubwa ameshika hatamuMji sio majengo ya serekali
Mi nashangaa wanaita sehemu kisa pamerundikwa majengo ya wizara na ikuluWatu ni hohehahe,wenye tuhela kidogo walibahatisha enzi za Jk kwa sasa karibu wote ni nyumbu ndio maana huwezi ona vitu vya maana kwa ground vinafanywa na mtu binafsi coz huku kuna Kim mkubwa ameshika hatamu