km sio wine mbona ni under 18yrs?Not wine. Though we use Roselle juice and Lemon juice to process.
Je ni wine?Nimesha ifanyia registration. Pia nimepata TBS na Bar Code
Dah. Hii information imenisaidiahaha.... bei ya mwisho iwe 1.5USD.
pombe sampuli hiyo prices zake hapa ziko hivi:
Redds @ $1.5
Guarana @ $1.5
Snapp @ $1.8
Smirnoff Ice @ 1.8
naongelea kuhusu prices za Kenya lakini. kumbuka we are a middle income economy... halafu kila mwaka, alcoholic drinks huongezwa tax kubwa sana. Kenyans drink more alcohol than tea
4% alcoholAlcoholic percent yake ni ngapi, hii ingenikuta siku nilikua Mr. Konyagi
Anyway good work, the design is awesome.
Hiyo ndo ilikuwa plan yangu.Hongera sana mkuu. Ila ungeanza kwa bei ndogo then unapandisha taratibu kutokana na demand.
Sent using Jamii Forums mobile app
. Lakini tulishauliana tuchukue rangi ya Roselle yenyewe. But ushauri wako nitaufanyia kazi. Mpango wetu nikuzalisha aina tofauti za hiki kinywaji. Kuna cha 4% alcohol na 12% alcohol.Vizuri sana. Ila comment yangu ni kwenye design. Labda ungeweka color tofauti kwenye jina "Roselle"
Hiyo pink inakuwa kali kidogo. Tafuta namna color tofauti itakayoonekana classic.
Not for sell to person under the age of 18. Ni alcoholic drink kama unavyo on a Club au Smirnof.km sio wine mbona ni under 18yrs?
Sent From Ikulu-Magogoni street
Fanya ivyo mkuu maana usipige mahesabu ya kurudisha mtaji na faida haraka haraka.Hiyo ndo ilikuwa plan yangu.
Thanks. Mambo ya JF mengine huwa tunayafanya nakuyaacha JF. Lazima ifike Nairobi mkuu.nzuri hili mulisaa..kumbe huwa unatumia akili mda mwingine...weka 1.5 USD hii tutamaliza...tutafagia yote..leta Nairobi tafadhali...yaani ifike Nairobi
Kile kinywaji nilichokuwa nimewaonyesha label ya Rest. Kuna wataalamu wamenisaidia kufanya branding kiufanisi. Je itapokelewa vizuri kwenye soko la EA community.? Je ipo atractive? Nipeni maoni. Jina inaitwa Rosell Alcoholic Drink sio Rest tena. Nipeni maoni. Naje price yake ichezee wapi.100% natural ingredients and manufactured in Tanzania.
Pia kama kuna Mkenya angependa kuwa agent wa hiki kinywaji ani inbox. Tuifanye EA iwe ya viwanda kwa kushirikiana.View attachment 570817 View attachment 570818View attachment 570817
Ukitaka mtaalam nitafute, nimesomea hizo mambo, nipo deeeeep sanaNot for sell to person under the age of 18. Ni alcoholic drink kama unavyo on a Club au Smirnof.