Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,521
- 1,906
Wakuu,
kuna jamaa yangu ameitwa kwenye round ya pili ya interview EAC sasa wamempa fomu ajaze pamoja na mambo mengine Mshahara anaohitaji. Anaomba ushauri wa range kwa mtu mwenye Masters Degree, nafasi ni ya officer na Masters degree ni moja ya vigezo. Kama kuna mwana JF huko basi atujuze.
Natanguliza shukrani za dhati
Nyati
kuna jamaa yangu ameitwa kwenye round ya pili ya interview EAC sasa wamempa fomu ajaze pamoja na mambo mengine Mshahara anaohitaji. Anaomba ushauri wa range kwa mtu mwenye Masters Degree, nafasi ni ya officer na Masters degree ni moja ya vigezo. Kama kuna mwana JF huko basi atujuze.
Natanguliza shukrani za dhati
Nyati