East Africa Radio kwanini mlikatisha mahojiano na Mzee Bantu?

East Africa Radio kwanini mlikatisha mahojiano na Mzee Bantu?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Jana katika kipindi cha jioni alikuwepo mtu mmoja aliyejitambulisha kama Bantu. Alikuwa ameanza kuzungumzia jinsi alivyouona uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita.

Alikuwa anaongea maneno ya kweli na adimu sana kuyasikia kwenye media zetu. Muda mfupi nilitoka nje ya gari kidogo, kurudi nikakuta ameshaondolewa na kuwekwa chawa mmoja hivi!

Najiuliza mamlaka ziliwapiga simu mkatishe mahojiano na yule mzee mzalendo na nabii aliyekuwa akitabiri yatakayotokea mbeleni?
 
Jana katika kipindi cha jioni alikuwepo mtu mmoja aliyejitambulisha kama Bantu. Alikuwa ameanza kuzungumzia jinsi alivyouona uchaguzi waitaa uliopita.

Alikuwa anaongea manene ya kweli na adimu sana kuyasikia kwenye media zetu. Mda mfupi nilitoka nje ya gari kidogo, kurudi nikakuta ameshaondolewa na kuwekwa chawa mmoja hivi!

Najiuliza mamlaka ziliwapiga simu mkatishe mahojiano na yule mzee mzalendo na nabii aliyekuwa alitabiri yatakayotokea mbeleni?
Hatuna media tena mkuu ni aibu tupu
 
Jana katika kipindi cha jioni alikuwepo mtu mmoja aliyejitambulisha kama Bantu. Alikuwa ameanza kuzungumzia jinsi alivyouona uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita.

Alikuwa anaongea maneno ya kweli na adimu sana kuyasikia kwenye media zetu. Muda mfupi nilitoka nje ya gari kidogo, kurudi nikakuta ameshaondolewa na kuwekwa chawa mmoja hivi!

Najiuliza mamlaka ziliwapiga simu mkatishe mahojiano na yule mzee mzalendo na nabii aliyekuwa akitabiri yatakayotokea mbeleni?
Hata U FM walikatiza kipindi cha DW Kiswahili jana walioanza kuzungumzia mada ya utekaji na uuaji Tanzania.
Yule mtangazaji wao U FM Madege ni chawa kuliko mtangazaji yeyote wa Uhuru media au Tbccm.
 
Wanalinda ugali wao. CCM wakiyasikia maneno ya kweli wataifungia hiyo redio na wakose ugali
 
Back
Top Bottom