East Africa Radio ndiyo radio yenye wachambuzi na watangazaji bora wa michezo Tanzania.

kile kipindi kimekosa muongozaji...bora kitenge kuliko yule mwingine...unakuta Edo anachambua anataka aende kwenye main point linadakia na kuacha kuongoza mazungumzo linageuka lichambuz.....sijui wanafeli wapi yan...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku alisema sadio Mane ni mchezaji wa nigeria ,mpaka kipindi inaisha hamna aliyemsahihisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…