secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Niko hapa nasikiliza Planet bongo ya East Africa radio ambayo inaruka kutoka Tumaini university.
Huyu mtangazaji aitwaye February amefanya kitu cha ovyo kabisa leo, wakati anamhoji amemuuliza dogo mmoja jina dogo akamwambia mimi ni mhadzabe February akasena "wale wanaokula vitu vichafu vichafu...".
Nimemshangaa Sana huyu binti mpaka macho yamenitoka kama mjusi aliyanwa na mlango.
realMamy toa neno lako.
Huyu mtangazaji aitwaye February amefanya kitu cha ovyo kabisa leo, wakati anamhoji amemuuliza dogo mmoja jina dogo akamwambia mimi ni mhadzabe February akasena "wale wanaokula vitu vichafu vichafu...".
Nimemshangaa Sana huyu binti mpaka macho yamenitoka kama mjusi aliyanwa na mlango.
realMamy toa neno lako.