Uchafu ni nini ? Kwa muktadha wa muuliza swali huenda kwake ni vichafu ila kwa wale wanaovila sio vichafu...
Sababu nina uhakika kwa utamaduni wa sasa na hao kama walikuwa shule wanafundishwa hata kula kitu bila kuosha au kunawa ni uchafu..., hivyo kwa mtu wa leo akiangalia ancestors wake (duniani pote) ambao walikuwa hunters and gatherers, ataona kwamba walikuwa wanakula vitu vichafu, ingawa na wale wanaweza kuona huyu wa leo immunity yake ni ndogo sana wala hawezi survive nature kutokana na kwamba yupo so protected...
Moral of Story, usijali fulani anakuonaje wewe ishi unavyoishi yeye akikuona mchafu wewe mshangae mtu anahangaika siku nzima apate pesa ili tu afunike mguu wake (eti kavaa kiatu) wakati ungebaki wazi ungepumua vizuri zaidi...
To each their own...; I might disagree with what she / he said but I will defend her/his right to Say it...