East African Federation (EAF) public Views

East African Federation (EAF) public Views

See how catachrestics run out of their sporadic shrewdness and starts acting dotty. U should have have known that Native English consists of less than 10% speakers.
Hey, I'm not a cheeky twat, neither do you know me, hope you don't Spin in that direction again.

Sorry, thought you were a 'native english speaker' and that you would understand what I meant! I would like to insist that you are indeed a cheeky twat!
 
bora ardhi ya tz ingemilikiwa hata na mtusi au mhutu au hata mganda, lakini si mkenya...hawa jamaa hawafai, watakula kiburi chao.
 
Kuna uwezekano umenishinda elimu, sikatai, lakini hela babu, naeza lisha ukoo wako mzima mwezi moja na pesa yangu ya kulewa ya wiki mbili..
We kibwengo una hela gani...? Wakenya wenye ela hawashindi kwene forums za waTz kuspread IGNORANCE like u do. Ndio nimekutajia nilikuwa nakata Hennessy weekend umetoa jicho kaa unatolewa bikra, hiyo ni dalili wewe ni mvuja jasho tu HUNA LOLOTE. Tukisema tuanze kucharge 5$ / post humu ndani..utakuwa wa kwanza kutoka nduki..Bwe he he he..

BTW, sio tu Hennessy, natumiaga Pierre Ferrand na Remy Ma, zipo za dala 40, 70 mpaka 1000..Nikiwa na ghadhabu nakata Scotch..hiyo mataptap ya diabetes mellitus sijui Tusker hiyo ni yenyu nyie wavuja jasho..
 
Sorry, thought you were a 'native English speaker' and that you would understand what I meant! I would like to insist that you are indeed a cheeky twat!

I guess cheeky here is meant to imply Cunning. Suit yourself, but I'm not as dowdy as you are, trying to act smart. Goodnight.
 
..this comes frm a Q&A session that the Min for EA had with the members of Parliament.

..Tanzanias land laws still apply.

good i like that!

ila isiishie midomoni kwani siye wabongo mambo mengi hatutekelezi!
 
I don't see any point there, dual-citizenship is in the process of take-off in Kenya.
 
..Kenya's single tourist visa proposal rejected.

Mheshimiwa Spika, vilevile kuna hoja ambayo inazungumzwa kwenye masuala ya Utalii na hoja yenyewe ni kama ama tuwe na Single Tourist Visa au tuendelee na utaratibu wa sasa. Nichukue nafasi hii kuwashukuru wenzetu wa Wizara ya Utalii, walijenga hoja vizuri kwa wenzao na wakakubaliana kwamba jambo hilo lisianze kwanza mpaka utafiti ufanyike. Hebu sasa tusubiri matokeo ya utafiti na matokeo hayo ya utafiti pamoja na uzoefu mwingine tulioupata, pamoja na yote mliyozungumza hapa yatatusaidia kufanya maamuzi kwa kuangalia ni lipi jema kwa Tanzania na lipi siyo jema kwa Tanzania?

..Work Permits still apply.

Mheshimiwa Spika, ukisoma Itifaki inayoanzisha Umoja wa Forodha ni kwamba zimewekwa taratibu na Sheria za jinsi wana-Afrika ya Mashariki wataweza kufanya kazi hapa. Ukija hapa Tanzania ukaomba kazi ukaipata hautaweza kufanya kazi hiyo kama hujapata working permit na ukiomba working permit siyo lazima tukupe. Tutakupa working permit tukiona kwamba: Je, hilo eneo ambalo umepata kazi ni eneo ambalo tumefungua? Je unazo sifa zinazostahili kufanya kazi hiyo? Je, tunakuhitaji ufanye kazi hiyo? Tukishajiridhisha, sasa ndiyo utapewa working permit.
 
ubungoubungo said:
wakenya wasahau kuvamia ardhi ya tz.

ubungo,

..they are trying hard though, and when they fail to convince Tanzanians on any subject one-on-one they would try again thr' the eac.

..walitaka tufungue mpaka wa Golongoja tukakataa, then wakaona waende moja kwa moja kwa vinchi kama Rwanda na Burundi na kujaribu ku-push for a single EA tourist visa.

..they are really underestimating Tanzanians. very soon hata hizo sausages wanazouza hapa watashindwa kuuza.
 
wakenya wasahau kuvamia ardhi ya tz.

Nyie wabongo lazima mkubali tu kuwa nyie na mawaziri wenu ni vilaza!! Ili kumiliki ardhi Tanzania sio lazima hao wageni wawepo hapa, mbona hivi sasa huyu waziri Kamala anawahutubia wabunge huku 90% ya ardhi yenye misitu katika wilaya ya Njombe inamilikiwa na wageni!! Nendeni kule wilaya ya Kilolo iringa muulize watu gani wamemilikishwa ardhi kwa maelfu ya eka kwa kupewa/kushinikizwa na viongozi wa nchi kuwa watu hao wamilishwe ardhi hiyo. Wageni mpaka sasa ndio wamiliki wakubwa wa fukwe zote za mwambao wa pwani; halafu leo eti mwawakataza wakenya wasije miliki ardhi!! Mmechelewa na tatizo liko kwenye enforcement; wabongo ni corrupt sana!
 
Mkuu Wabs,

Its been a while ..how have u been ?? Welcome back..

BTW, umenichekesha sana, ni ukweli usemayo, jamaa wapo huko wanaleta mambo ya mahakama ya kadhi na mambo mengine trivial, huku tabaka tawala wameshauza nchi, hii mijamaa ikija kustuka lol wao wenyewe wameshauzwa utumwani.

Thanks my brother, I am well, nalijenga taifa porini sana where internet is not available,but thanks God jamvi linaenda vizuri.

Nacheka sana ninapoona watz wengi wana copy na ku paste yaliyotokea Ulaya ndiyo tuyafanye huku, sijui tumerogwa?

Kabla ya Ulaya kuungana kila nchi ilikuwa na maendeleo kiasi gani?

I am always joking the very same joke that will make someone realise that we are living the copied life, is not ours

Tunasoma katika historia inayojulikana na kila mtu kuwa , wazungu walikuja Afrika kutafuta malighafi-hiyo ilikuwa karne ya 18! baada ya mapinduzi ya viwanda! Je sisi hiyo hali tumeifikia? have we ever experienced industrial revolution? then which century are we?

Je hawa wazungu leo hii wanapata malighafi kutoka wapi? au Mungu amewaumbia tena madini?

Lini tutaaanza kufikiri nje ya box?, kuwa, kwanza hatuishi karne ya 21, pili maisha haya ya 'Science and Technology' tumetupiwa siyo yetu na hata kama tunaishi humo, tuyaweke katika mazingira ya kumkomboa na kumfanya mwafrika kuwa valuable person mwenye idea za tofauti kabisa za kimaendeleo, na kisingizio kisiwe mbona Ulaya waliungana!!

Economics ideas are dynamic and unpredictable, wakati nchi za West africa ziligawanywa ili eti zikiwa ndogo watapata maendeleo ya haraka! nchi kama China zilitegemewa zitakuwa maskini!! leo hii situation is different, kitu gani kimetokea mwaka juzi na jana kuhusu uchumi kuyumba wa dunia hii? Lini waafrika tutakuwa na kanuni zetu za uchumi kulingana na hali halisi ya nchi zetu na sio kusoma tu akina Monte carlo! hatujafikia kiwango hata cha kuiga ya hawa wenzetu, maana mpaka sasa kila tufanyacho hatufikirii kwa undani tuna copy na kupaste!

mbaya zaidi ni pale watawala wanajua wana uwezo(capital) elimu nzuri wao na watoto wao, wamewatayarisha watoto wao katika global stage, inapofikia kuona kuna wasomi wanatoa solution rahisi za uchumi kwa kulibatiza shirikisho , si ndio uthibitisho wenyewe kuwa we have nothing new! na ya kuwa bado tunatawaliwa na idea zote za wenzetu wameendelea vipi, lakini kama hata una copy mtu mwenye busara ngau ni yule huwa anawaza hali yetu zaidi na sio kufananisha ulaya na Tz! what a shame!

Ndio aibu kwani siri? kwani vijana wetu wanaosoma special schools za Mzumbe, Ilboru,Kibaha na Tabora sio ndio wengi wao wanaosoma computer science, electrical engineering na electronics vyuo vikuu? je kuna computer tuna-manufacture humu nchini?, umeme wetu ukoje? kabla ya kutibu magonjwa kama haya ambao ni upele wa usoni! tukikumbatiana wote wenye upele tutapona??

Nauliza lini msomi wa Tz, atawaza tofauti kabisa , bila kusema mbona Europe ilikuwa hivi na Asia ilikuwa vile? kwa nini tunajidhalilisha, kwa kufikiria tumeendelea sana, hata kufuata njia za wazungu , wakati tuna tamaduni, na backgrounds tofauti?
 
TZ-RW border begins to realise Common Market benefits

Kuliko hiyo mikelele yenu mnayopiga humu,practically wenye akili wameanza take advantage ya EA,yaani is beyond stup-idity kuwa na mawazo ya kujikomesha kama member wengi humu JF,why mnataka usumbufu kwenye borders na tax kubwa? mazuri mengi yapo kutokana na hii EA just take your time kuelewa sio kusikiliza u..pumbavu wa kina kanyabwoya na abdulahim wasioelewa kitu,nawashauri students/businessmen should take advantage ya hii EA ina mambo mengi mazuri kwa hizo sector,wabongo acheni kulala na kusikiliza upuuzi wa kina kanyabwoya na wenzake waliokata tamaa ya maisha wasiolewa kuweni aggressive,kazi sasa sio Dar tuu zungusheni hizo CV zenu kuanzia nairobi/Kigali/Kampala/Bujumbura etc kazi mtapata tuu na business mtafanya kirahisi zaidi


By Stephen Rwembeho



KIREHE - Customs officials at Rwanda-Tanzanian border of Rusumo say regional traders have started enjoying tax cuts for goods originating from within the East African Community ever since the Common Market protocol became operational on July 1.
Speaking to The New Times on Monday, Charles Bisengimana, a customs officer, said goods wholly or partially produced by member states, are given preferential treatment, provided the owners carry valid EAC Certificate of Origin.
“Goods produced in EAC; only pay 5% withholding tax, 18% VAT and 0% customs duty,” he said. “This is virtually zero tax…for example; sugar used to pay100% customs duties, which is no more
The officials further revealed that taxes on goods not produced in EAC, but whose value is added in one of the member states, too, get preferential treatment.
“It is true that some goods are not wholly produced in EAC, but if the value added is 35% plus, we consider material added,” Bisengimana revealed.
Traders said the time spent clearing their goods has also subsequently reduced ever since the common market was launched.
Abdallah Twalib Amani, a truck driver plying the Dar-es-salaam-Kigali route, told The New Times that he was overwhelmed by the little time he now spends at the border.
“I used to stay hours and days queuing for clearance, but as you see, I have just come, and in a couple of minutes I will be proceeding to Kigali. Unlike in the past when it was the direct opposite,” he said.
Though traders are exempted from some taxes, it is yet to be translated into reduced prices of goods on the market.
Richard Uwayezu, a resident of Kabarondo laments the continued high prices of goods that are produced in the EAC.
“Traders are cheating us for sure. A Dodoma or Arusha made mattress that used to pay tax of Rwf21,000, now pays Rwf 7,000, sugar pays 0% customs duty, yet retail price remains the same. The government must intervene,” he said.
 
Tanzania yesterday ruled out the possibility of accepting national Identity Cards as warrant for free movement of people in the world’s newest common market created this week after a decade of negotiations.

The transformation and growth of the bloc, known as the East African Community (EAC), has been unfolding quickly after being revived just over 10 years ago. The bloc aims to become a monetary union by 2012 and have a common currency by 2015, with political federation to come soon after.

The East African Community known in short as EAC1 was founded in 1967 by Kenya, Tanzania and Uganda but collapsed a decade later over political infighting between member states. Its resurrection – EAC11 strengthened with the addition of Rwanda and Burundi and the creation of the common market, has been lauded by East African officials, though more work remains pending.

The Dar es Salaam stand comes as Kenya formally waived the work permit fee for all East African citizens entering the country with effect from July 1, this year.

Immigration Minister, Otieno Kajwang, has sent a gazette notice for publication to enforce the new move meant to bring down barriers to the movement of labour in the region.Once gazetted, citizens of Tanzania, Burundi, Rwanda and Uganda seeking to reside, or engage in employment, occupation, business or profession in Kenya would not pay the fee.

But, in a move aimed at clearing the looming confusion about the real concept behind the common market, the Tanzania government yesterday listed three types of travel documents that it will accept as legal movement permits among residents of East African Community (EAC).

Presenting the 2010/2011 budget speech in Parliament yesterday, the Minister for East African Community affairs, Dr Deodorus Kamala, ruled out the possibility of accepting National Identity Cards (IDs) as legal travel documents for EAC members entering or leaving Tanzania.

According to the minister, the Tanzania government will only accept National Passports, East African Passports and Temporary Travel Papers issued by the respective countries’ immigration departments as legal documents in crossing Tanzania’s borders in the region.

However, he said if other EAC member states will agree to use IDs as legal travel documents, then the matter should be agreed between the respective countries.

“We, as Tanzanians, will accept only the three types of passports as legal travel documents but if other EAC member states agree to use IDs as legal travel pass such a matter should be left to be agreed among the respective nations,” he said.

During his presentation, Dr Kamala allayed public fears that with the implementation of the EAC Common Market Protocol, Tanzania’s land will be easily grabbed by residents of other EAC member states. “In this integration process, especially now that the EAC Common Market is in full swing, people are afraid of their land being easily acquired by residents of other EAC members.

“Let me say that no EAC member state will be forced to sell its land to people of other EAC member states,’” he emphasised.

The question of land also featured on Thursday in Parliament during Prime Minister’s Questions and Answers’ session when Habib Mmyaa (CUF- Mkanyageni) wanted the Premier to give the government’s stand over the question of land in the integration process.

In his answer, Prime Minister Mizengo Pinda said land matters will continue to be administered by the country’s land laws as well as laws governing investment matters under Tanzania Investment Centre (TIC).
But Members of Parliament who contributed to the budget speech implored Tanzanians to change their mindset of inferiority complex when competing with their colleagues from other EAC member states.

Dr Raphael Chegeni (CCM- Busega) said Tanzanians must pull up their socks so that they can exploit business as well as employment opportunities created by the common market.

He called upon Tanzanians to emulate a good example from their counterparts in Rwanda, who despite beginning from scratch after the 1994 genocide, they are now doing well in almost every sphere of life.
But, Leader of Opposition in Parliament, Hamad Rashid Mohammed, said the government must create a conducive environment for Tanzanians to be able to compete in the regional market.

The Opposition MP called upon financial institutions to expand their scope of lending as it is done in other EAC member states such as Kenya. Giving an example, the MP said while it is hard for financial institutions in the country to lend money to people engaging in the mining industry due to lack of experience, in other EAC members businesspeople were enjoying financial support effectively.

Mohammed went further to implore the government to come up with explicit strategies in the education sector that will increase students’ enrollment especially in higher learning institutions to compete squarely in various spheres of life, including labour.

Though he did not mention figures, Mohammed said Kenya stands a better chance to benefit from the EAC labour market since it produces a big number of graduates every year followed by Uganda in the EA region. During the same discussion, legislators raised their voices, calling upon the government to sensitise the public about the real meaning and benefits of the EAC Common Market.

However, it is stated in the speech book that the government is finalising a draft of the National Strategic Plan that will address how the government will execute the EAC Common Market protocol.

The Parliament endorsed a total of Sh13,088,958,000 sought by the ministry in its 2010/2011 budget out of which Sh12,324,182,000 is for Other Charges (OC) and Sh 764,776,000 is for Personal Emolument (PE).

SOURCE: GUARDIAN
 
wabongo vilaza

Smatta, badala ya generalisation kwa kuwaita wabongo vilaza, ingelikuwa jambo la busara sana kwako wewe uliye mwelevu kama ungeelezea sababu zako kwa kuchanganua habari iliyowekwa hapo juu.
 
Nyie wabongo lazima mkubali tu kuwa nyie na mawaziri wenu ni vilaza!! Ili kumiliki ardhi Tanzania sio lazima hao wageni wawepo hapa, mbona hivi sasa huyu waziri Kamala anawahutubia wabunge huku 90% ya ardhi yenye misitu katika wilaya ya Njombe inamilikiwa na wageni!! Nendeni kule wilaya ya Kilolo iringa muulize watu gani wamemilikishwa ardhi kwa maelfu ya eka kwa kupewa/kushinikizwa na viongozi wa nchi kuwa watu hao wamilishwe ardhi hiyo. Wageni mpaka sasa ndio wamiliki wakubwa wa fukwe zote za mwambao wa pwani; halafu leo eti mwawakataza wakenya wasije miliki ardhi!! Mmechelewa na tatizo liko kwenye enforcement; wabongo ni corrupt sana!


Sawa sisi ni vilaza kama hilo litakufanya ujisikie vizuri....:sick:

Lakini nakuomba kwanza upunguze jazba na pili uache upotoshaji wa mambo mkuu: Sheria haikatazi mgeni kumiliki ardhi ndio maana ukienda Shinyanga, Mwanza na Mara migodi yote mikubwa inamilikiwa na wageni!. Hao hao waKenya unaosema wanakatazwa kumiliki ardhi mbona wako kibao tu wamewekeza katika mahoteli, viwanda, mashamba ya chai n.k. kupitia TIC?.

Cha msingi kinachozungumziwa ni uhamiaji na umiliki ardhi wa kiholela. Mtu kama sio mwekezaji mkubwa mwenye kibali cha TIC hawezi kuja kumiliki ardhi kama vile anavyoweza kumiliki ardhi akiwa nchini mwake.

Tanzania inataka wawekezaji sio wababaishaji, Tanzania sio kimbilio la watu waliokosa ardhi/sehemu za kuishi huko kwao. Kama watu maisha yamewashinda kwao waje tutawaweka kwenye kambi za wakimbizi ambako tutawapatia mashamba ekari zozote watakazo kama tulivyofanya kule Mpanda (MISHAMO na KATUMBA projects) wakiamua kuukana uraia wao na kuwa waTanzania ndipo hapo wataweza kumiliki ardhi sehemu yeyote ya nchi waitakayo!.

Wawekezaji toka Kenya ni subset tu ya wawekezaji toka mataifa mbalimbali walioko Tz. Kama wengine wote wanafuata sheria za uwekezaji, uhamiaji na umiliki ardhi za TZ kwanini hutaki waKenya kufanya hivyo pia?. Kwani hio EAC maana yake raia wa UG atakuwa na haki sawa na raia wa RW au BRD?.

Issue ya law enforcement ni nyingine na wala haimaanishi/ruhusu mimi niende Kampala au wewe uje Tabora kuvunja sheria. (your corrupt influence).:closed_2:
 
I wish you would clarify what nadharia means, but all the same, it seems to me that you don't understand the purpose of my theories. I also wonder where on earth has the theory ever preceded the practical.

RealDull, ...... No.... No ....... Noooo, Not ur theory at all!!!!!!!! Ha ha haa. Usinivunje mbavu. n

Nadharia zako kwa maendeleo ya EAF ni chini ya sifuri, YAANI MINUS. Pengine uanze upya!!! Lakini usisahau kitu kimoja... Lete theory za EAF za 2010 na sio 1817 za ulaya... umenipata. Nafahamu hukunipata katika post yangu hapo awali. What i need is to take u home (EAF) and give us theory based on the real situation of mwananchi in EA and what is practicaly done in thoes countries. Na sio kutuletea mambo ya ulaya na HOLY WOOD hii leo wakati upo EA.

Unajua kwanini nimekubatiza jina la RealDull? Kwa sababu ni mvivu kutumia akili yako kutatua matatizo ya EAF. Badala yake unajiangalia wewe kama wewe itavyokufaidisha hii EAF na sio kwa wananchi wote wa EAF. Na hili sio lengo la kuwepo na kutoa hoja hapa JF. sUALA LA WEWE NA FAMILIA YAKO HALITUHUSU HAPA, Lete mjadala mpana zaidi kama mtu uliyekwenda shule.

Narudia tena, No....no.......no.....not ur theory.............!!!!!!!!!
 
Thanks my brother, I am well, nalijenga taifa porini sana where internet is not available,but thanks God jamvi linaenda vizuri.

Nacheka sana ninapoona watz wengi wana copy na ku paste yaliyotokea Ulaya ndiyo tuyafanye huku, sijui tumerogwa?

Kabla ya Ulaya kuungana kila nchi ilikuwa na maendeleo kiasi gani?

I am always joking the very same joke that will make someone realise that we are living the copied life, is not ours

Tunasoma katika historia inayojulikana na kila mtu kuwa , wazungu walikuja Afrika kutafuta malighafi-hiyo ilikuwa karne ya 18! baada ya mapinduzi ya viwanda! Je sisi hiyo hali tumeifikia? have we ever experienced industrial revolution? then which century are we?

Je hawa wazungu leo hii wanapata malighafi kutoka wapi? au Mungu amewaumbia tena madini?

Lini tutaaanza kufikiri nje ya box?, kuwa, kwanza hatuishi karne ya 21, pili maisha haya ya 'Science and Technology' tumetupiwa siyo yetu na hata kama tunaishi humo, tuyaweke katika mazingira ya kumkomboa na kumfanya mwafrika kuwa valuable person mwenye idea za tofauti kabisa za kimaendeleo, na kisingizio kisiwe mbona Ulaya waliungana!!

Economics ideas are dynamic and unpredictable, wakati nchi za West africa ziligawanywa ili eti zikiwa ndogo watapata maendeleo ya haraka! nchi kama China zilitegemewa zitakuwa maskini!! leo hii situation is different, kitu gani kimetokea mwaka juzi na jana kuhusu uchumi kuyumba wa dunia hii? Lini waafrika tutakuwa na kanuni zetu za uchumi kulingana na hali halisi ya nchi zetu na sio kusoma tu akina Monte carlo! hatujafikia kiwango hata cha kuiga ya hawa wenzetu, maana mpaka sasa kila tufanyacho hatufikirii kwa undani tuna copy na kupaste!

mbaya zaidi ni pale watawala wanajua wana uwezo(capital) elimu nzuri wao na watoto wao, wamewatayarisha watoto wao katika global stage, inapofikia kuona kuna wasomi wanatoa solution rahisi za uchumi kwa kulibatiza shirikisho , si ndio uthibitisho wenyewe kuwa we have nothing new! na ya kuwa bado tunatawaliwa na idea zote za wenzetu wameendelea vipi, lakini kama hata una copy mtu mwenye busara ngau ni yule huwa anawaza hali yetu zaidi na sio kufananisha ulaya na Tz! what a shame!

Ndio aibu kwani siri? kwani vijana wetu wanaosoma special schools za Mzumbe, Ilboru,Kibaha na Tabora sio ndio wengi wao wanaosoma computer science, electrical engineering na electronics vyuo vikuu? je kuna computer tuna-manufacture humu nchini?, umeme wetu ukoje? kabla ya kutibu magonjwa kama haya ambao ni upele wa usoni! tukikumbatiana wote wenye upele tutapona??

Nauliza lini msomi wa Tz, atawaza tofauti kabisa , bila kusema mbona Europe ilikuwa hivi na Asia ilikuwa vile? kwa nini tunajidhalilisha, kwa kufikiria tumeendelea sana, hata kufuata njia za wazungu , wakati tuna tamaduni, na backgrounds tofauti?

RealDull, read this post #1295! It wil help u to catch me in my previous post on theory and practical. Tafadhali soma hii post, A MUST READ POST!!!!!!!!

Uliyoyaandika ndio matatizo makuu yanayotufanya turudi nyuma. Watu wanashindwa kuelewa kuwa Economics ideas are dynamic and unpredictable. IDEA za 1990 zinaweza zikawa zimepitwa na wakati mwaku huu. Wakati ambao tunawasomi wetu (maprofesa zaidi ya ujerumani na uingereza ktk karne ya 18) ni wakati wa kufanya utafiti EAF na kutumia nadharia zetu zinazoendana na hali halisi under ground.

Tatizo hili kubwa mno KENYA, na ni ndogo sana Tanzania. N husababishwa na kasumba na ukoloni mambo leo ambao uko mkubwa sana nchini KENYA. Homa hii imeambukizwa kwa miaka kadhaa nchini KENYA na imerithiwa toka kwa akina NJONJO. Akieleza kuhusu kazi ambazo mtu mweusi hawezi kufanya, mwaka 1974, alitaja udaktari na upilot, kitu ambacho leo kuna madaktari na mapilot kibao weusi.

Mtihani mkubwa tulio nao ni kuwasaidia ndugu zetu wAKENYA( akina RealDull) wafike hapa tulipo.
 
RealDull, ...... No.... No ....... Noooo, Not ur theory at all!!!!!!!! Ha ha haa. Usinivunje mbavu. n

Nadharia zako kwa maendeleo ya EAF ni chini ya sifuri, YAANI MINUS. Pengine uanze upya!!! Lakini usisahau kitu kimoja... Lete theory za EAF za 2010 na sio 1817 za ulaya... umenipata. Nafahamu hukunipata katika post yangu hapo awali. What i need is to take u home (EAF) and give us theory based on the real situation of mwananchi in EA and what is practicaly done in thoes countries. Na sio kutuletea mambo ya ulaya na HOLY WOOD hii leo wakati upo EA.

Unajua kwanini nimekubatiza jina la RealDull? Kwa sababu ni mvivu kutumia akili yako kutatua matatizo ya EAF. Badala yake unajiangalia wewe kama wewe itavyokufaidisha hii EAF na sio kwa wananchi wote wa EAF. Na hili sio lengo la kuwepo na kutoa hoja hapa JF. sUALA LA WEWE NA FAMILIA YAKO HALITUHUSU HAPA, Lete mjadala mpana zaidi kama mtu uliyekwenda shule.

Narudia tena, No....no.......no.....not ur theory.............!!!!!!!!!

Very dowdy indeed, I won't be wrong to call you the most counterfactual guy on the forum, and you jazz me a lot. Wewe uliyekwenda shule hukufunzwa kufuatia maagizo. Since the beginning u've been trolling, don't you notice that, which of any your posts is related to the main issue in any way. All you do is analyze comments of others, a clear sign of obliviousness. Worse, you don't even seem to grasp the content in the posts. Who talked about HOLYWOOD and Familia, not me definitely.

It would be best if quit being shy and give us your take on EAF, so we can analyze you too, but don't just keep on trailing behind comments and trying to improve what has already been said, it gives an obtuse image of yourself.
 
I guess cheeky here is meant to imply Cunning. Suit yourself, but I'm not as dowdy as you are, trying to act smart. Goodnight.




quote_icon.png
Originally Posted by Waberoya
Thanks my brother, I am well, nalijenga taifa porini sana where internet is not available,but thanks God jamvi linaenda vizuri.

Nacheka sana ninapoona watz wengi wana copy na ku paste yaliyotokea Ulaya ndiyo tuyafanye huku, sijui tumerogwa?

Kabla ya Ulaya kuungana kila nchi ilikuwa na maendeleo kiasi gani?

I am always joking the very same joke that will make someone realise that we are living the copied life, is not ours

Tunasoma katika historia inayojulikana na kila mtu kuwa , wazungu walikuja Afrika kutafuta malighafi-hiyo ilikuwa karne ya 18! baada ya mapinduzi ya viwanda! Je sisi hiyo hali tumeifikia? have we ever experienced industrial revolution? then which century are we?

Je hawa wazungu leo hii wanapata malighafi kutoka wapi? au Mungu amewaumbia tena madini?

Lini tutaaanza kufikiri nje ya box?, kuwa, kwanza hatuishi karne ya 21, pili maisha haya ya 'Science and Technology' tumetupiwa siyo yetu na hata kama tunaishi humo, tuyaweke katika mazingira ya kumkomboa na kumfanya mwafrika kuwa valuable person mwenye idea za tofauti kabisa za kimaendeleo, na kisingizio kisiwe mbona Ulaya waliungana!!

Economics ideas are dynamic and unpredictable, wakati nchi za West africa ziligawanywa ili eti zikiwa ndogo watapata maendeleo ya haraka! nchi kama China zilitegemewa zitakuwa maskini!! leo hii situation is different, kitu gani kimetokea mwaka juzi na jana kuhusu uchumi kuyumba wa dunia hii? Lini waafrika tutakuwa na kanuni zetu za uchumi kulingana na hali halisi ya nchi zetu na sio kusoma tu akina Monte carlo! hatujafikia kiwango hata cha kuiga ya hawa wenzetu, maana mpaka sasa kila tufanyacho hatufikirii kwa undani tuna copy na kupaste!

mbaya zaidi ni pale watawala wanajua wana uwezo(capital) elimu nzuri wao na watoto wao, wamewatayarisha watoto wao katika global stage, inapofikia kuona kuna wasomi wanatoa solution rahisi za uchumi kwa kulibatiza shirikisho , si ndio uthibitisho wenyewe kuwa we have nothing new! na ya kuwa bado tunatawaliwa na idea zote za wenzetu wameendelea vipi, lakini kama hata una copy mtu mwenye busara ngau ni yule huwa anawaza hali yetu zaidi na sio kufananisha ulaya na Tz! what a shame!

Ndio aibu kwani siri? kwani vijana wetu wanaosoma special schools za Mzumbe, Ilboru,Kibaha na Tabora sio ndio wengi wao wanaosoma computer science, electrical engineering na electronics vyuo vikuu? je kuna computer tuna-manufacture humu nchini?, umeme wetu ukoje? kabla ya kutibu magonjwa kama haya ambao ni upele wa usoni! tukikumbatiana wote wenye upele tutapona??

Nauliza lini msomi wa Tz, atawaza tofauti kabisa , bila kusema mbona Europe ilikuwa hivi na Asia ilikuwa vile? kwa nini tunajidhalilisha, kwa kufikiria tumeendelea sana, hata kufuata njia za wazungu , wakati tuna tamaduni, na backgrounds tofauti? IMEANDIKWA NA Waberoye post 1295 under Thread East African Federation.



.............................................................................................................................................................................



RealDull, read this post #1295! It wil help u to catch me in my previous post on theory and practical.
Tafadhali soma hii post, A MUST READ POST!!!!!!!!

Uliyoyaandika ndio matatizo makuu yanayotufanya turudi nyuma. Watu wanashindwa kuelewa kuwa Economics ideas are dynamic and unpredictable. IDEA za 1990 zinaweza zikawa zimepitwa na wakati mwaku huu. Wakati ambao tunawasomi wetu (maprofesa zaidi ya ujerumani na uingereza ktk karne ya 18) ni wakati wa kufanya utafiti EAF na kutumia nadharia zetu zinazoendana na hali halisi under ground.

Tatizo hili kubwa mno KENYA, na ni ndogo sana Tanzania. N husababishwa na kasumba na ukoloni mambo leo ambao uko mkubwa sana nchini KENYA. Homa hii imeambukizwa kwa miaka kadhaa nchini KENYA na imerithiwa toka kwa akina NJONJO. Akieleza kuhusu kazi ambazo mtu mweusi hawezi kufanya, mwaka 1974, alitaja udaktari na upilot, kitu ambacho leo kuna madaktari na mapilot kibao weusi.

Mtihani mkubwa tulio nao ni kuwasaidia ndugu zetu wAKENYA( akina RealDull) wafike hapa tulip​
 
Tanzania imechukua mkondo sahihi kusisitiza raia wa nchi wanachama wa EAC kutumia passports na si National Id.
Zipo sababu mbili muhimu ambazo Tanzania isingeweza kuziepuka.

[1] Tanzania haina National Id cards,Hii ingepelekea raia wa nchi zenye national id cards kuwa na nafasi kubwa ya kunufaika na fursa ziliko Tanzania wakati watanzania wengi wasiokuwa na passport kubaki kama watazamaji tu.

[2] Suala la ulinzi na usalama ni muhimu sana kwa amani ya Tanzania.Nchi ya Kenya ina tatizo kubwa la wakimbizi wa kisomali na Ethiopia ambao kama Tanzania ikikubali national id cards kuna uwezekano mkubwa wakatumia id za Kenya kuingia Tanzania na kufanya uhalifu.Pia level ya ujambazi Kenya ni kubwa mnoo ukilinganisha na Tanzania,mji wa Arusha na Kilimanjaro ni mashuhuda wazuri wa suala hili.Tanzania ni nchi iliyozungukwa na nchi zote za EAC,nchi za Burundi na Rwanda bado zina matatizo ya usalama kuondoa passport ni kuruhusu kuhamishia matatizo ya hizo nchi Tanzania.

Naipongeza serekali ya Tanzania kwa kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya mungiki & co.
 
Back
Top Bottom