East African Federation (EAF) public Views

East African Federation (EAF) public Views

Another theoretical scenario ni hii ya self-employment, hii inaonekana inaenda pamoja na ile ya kibali cha kazi, sasa sijui ni criterion/ criteria zipi za kumkubali mwombaji kama self-employed?? My fear is the same, hii ispoangaliwa vizuri ni blank cheque nyingine ya hawa jamaa kuchupia huku kwetu.
 
Abdulhalim,

..I am 100% with you ktk kuwashangaa hawa viongozi wetu.

..hivi with all the land and natural resources we have, why are these politicians and government officials encouraging Tanzanians to look for opportunities outside our borders?

..my hope ni kwamba hii community itawaamsha wa-Tanzania kujua kwamba kwa muda mrefu sana tumekuwa na uongozi wa hovyo-hovyo wenye sera mbovu-mbovu. kuna mfano umetolewa hapo kwamba hotel executives wengi kwenye mahoteli ya Tanzania wanatokea Kenya. wenzetu, pamoja na kujitangaza walifungua vyuo vya utalii, wakati sisi tuliweka mkazo kufungua vyuo vya siasa.
 
EAC is here and yall motherlovers cant do nothing about it.

the screw has been tightened and i can hear tanzanians squeal like like h**s.

i love this EAC thing. i do not know and frankly i dont care what TZ or any other nation will get out of the EAC but i know kenya stands to gain way way way more than what it will lose. so i fully support this this EAC thing. so i say to my fellow kenyans, lets go into this EAC and cut ourselves a huge portion before the others get a bigger portion than us.
 
Not all is common as Common Market starts

By John A. Emojong & Robert Muhereza


Posted Friday, July 2 2010 at 00:00

The first day of the East Africa Common Market was full of drama at most border points even as officials yesterday marked its commencement across cities of the respective member states.

On the Katuna border point between Uganda and Rwanda, Rwandan customs officials stopped three trucks loaded with cassava from entering the country.

About 50 long hauler truck drivers protested paying Shs2000 claiming the fee contradicts the spirit of the Common Market, and five other trucks were only allowed to enter Rwanda after paying taxes.

"We cannot pay parking fees when we are told that Common Market has come to solve all this. These people are cheating us," one of the drivers, Mr Hamidu Kavuma, told Daily Monitor. It took more than five hours for border security personnel to clear the jam that had been created due to the protests.

Malaba
Meanwhile, at the Malaba and Busia border points, transporters, traders and travellers, who expected to move freely were shocked to find that nothing had changed.

Taxes on produce such as maize and other products made in Kenya and Uganda were still being paid for while Ugandan registered trucks entering Kenya parted with $200 for foreign permits.

"Transporters complained to me this morning that they were forced to pay taxes at the Katuna border by Rwandan officials and yet they knew that taxes on agricultural goods were banned under the Common Market arrangement. They came back to Uganda to borrow money to clear the taxes," Mr Michael Bwabuhe, business leader, said.

It was clear at the border points that most people are still ignorant of the facts about the Common Market. Most expected an immediate relaxation of border restrictions with not taxes or permits for entry or exit.
"I thought that Uganda and Kenya were partner countries in the Common Market and that the Common Market would affect even trucks. But I was surprised this morning that I was made to pay $200 for a foreign permit for my truck to enter Kenya," Mr Godfrey Ssenyange, a transporter told Daily Monitor.

Revenue officials in Kenya and Uganda who did not want to be named because they had no authority to speak on behalf of the tax bodies said they were yet to receive written guidelines from the respective governments so as to fully implement some of the proposals in the Common Market Agreement.
A revenue official in Malaba on the Kenyan side also explained that taxes had to be paid on some of the goods which should not have been paid because by the time the Common Market date set in, clearance papers had already been lodged at customs by the truckers.

Uncertainty
Majority of the people at the border points expressed ignorance about the Common Market procedures, what it all means, how it will operate and how it will benefit them.

Mr Smith Opaye, a clearing agent in Malaba said: "I do not know whether the common man will understand what the Common Market really means. What the common man only knows is that he should be able to freely cross with his commodities, sell and get his daily meal."

"There is need for intensive sensitization for the people to understand the real meaning of the Common Market and how it will operate to avoid the confusion which has been experienced on this first day," Mr Opaye further said.

Source: Daily Monitor:  - National |Not all is common as Common Market starts
 
EAC Common Market takes off amid skepticism
By DAILY NEWS Reporters, THE East Africa Community (EAC) Common Market took off on Thursday with some people living near the border towns complaining of harassment and fears of low capacity by the immigration to handle the influx of people moving from one country to another.

A random survey at the Namanga border revealed that there were complaints that Kenyan Police officers were destroying Tanzanian passports found with people travelling into the neighbouring country.

This was among the concerns raised by residents of the Namanga border township while commenting about the common market which went into effect on July 1st. They also alleged that Kenyan authorities would confiscate goods from Tanzanian traders heading to Nairobi.

Mr Dickson Amri, a driver from Dar es Salaam said he was held in custody in Nairobi for three days last week, because the Kenyan police officers who arrested him, refused to recognise the temporary Tanzanian passports, dismissing them as 'merely papers.' They would demand the booklet international passports instead.

"The temporary passports are the same travelling documents that most Kenyans use to cross to Tanzania but nobody tears them here," complained Mr Amri.

A trader based in Namanga border post, Mr Frank Andrea said it was the norm for Kenyan police to arrest Tanzanians who ventured into their side of the border, tear their temporary passports and confiscate whatever goods or trading merchandise they happened to be carrying.

Ms Getruda Julius Sumai who is an insurance agent at the border, said unless the common market addresses the issue of Tanzanians being harassed in Kenya, then it would be of no use to them. She complained that some of her clients' vehicles get impounded once they drive into Kenya, because the authorities there sometimes fail to honour their insurance covers.

From the Kenyan side, Mr Isaack Abrahaman said many people had anticipated that from July 1st, they will be crossing into Tanzania without passports and a few who tried got arrested and wondered why the issue seems to be confusing. He also complained of being harassed by Tanzanian police.

The EAC Secretary General Ambassador Juma Mwapachu said he just had an audience with Kenyan President, Mr Mwai Kibaki regarding the border problems issue and they have agreed to form a special department to deal with the matter.

"There have been issues with our borders not only at Namanga and that is why President Kibaki had suggested we set up an 'Operational and Audit' department which will be given special mandate and be recognised by special laws to go round the borders and address such issues," said Mwapachu.

According to him, the Kenyan president had even placed emphasis on the matter by instructing the EAC Secretary General to forward the matter to the summit of the heads of states for speedy execution.

"And it is not just Mr Kibaki but Ugandan president, Yoweri Museveni had personally told me that he intend to start sacking all officials who seem to impede customs union executions," added Mr Mwapachu.

Efforts to contact Kenyan High Commissioner here, Mr Mutinda Mutiso were unsuccessfully as the envoy wasn't picking up his phone.

Meanwhile, the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, has urged Tanzanians not to feel threatened by the operationalisation of the common market, saying national interests would be firmly safeguarded.

The premier said this during a weekly impromptu question and answer session with MPs that agreements reached and identification of areas of co-operation by the five EAC member states considered the laws of respective countries. He was answering Mr Khalifa Suleiman Khalifa (Gando-CUF), who expressed worries that the common market might see people selling their land haphazardly to foreigners.

Mr Pinda said it was true the common market opened doors in many areas, but a number of issues including land would be governed by the country’s laws. He said according to law, it was illegal to sell land to foreigners without following laid down procedures.

“There are also conditions that govern the sale of land to foreigners...this land should be aimed for investment purpose,” said Mr Pinda warning that any illegal transaction would be revoked.

The Premier also said that the employment window would not be opened at random and that locals would be given priority in job opportunities that come up. Mr Pinda who was answering a supplementary question by Mr Khalifa, called on employers to ensure they utilised Tanzanian labour force before looking for staff from other EAC countries.

“We have a lot of experts here who should be given first priority in any recruitment. We should look for foreigners where it is absolutely necessary...where there is no Tanzanian with the required knowledge,” he said.

He was answering the legislator who said in a supplementary question that operationalisation of the common market might also be used by employers to harass local job seekers and employees.

In another development, the immigration department has expressed the need to improve infrastructures in the country’s entry points, in order to cope with the increased volume of people who will be flocking in and out of the country.

“Its true the volume and movement of people in and out of the country will be tremendous, thus needing additional resources in terms of human and equipment in order to fasten the clearance processes,” said Commissioner for Immigration, Mr Philo Nombo in an interview with the 'Daily News'.

He said since it is the beginning, the immigration department will manage to accommodate the flow of people, but as time goes on there is need to improve the infrastructures in order to work efficiently and effectively.

He said although no much change with regards to the procedures needed for one to cross the border to the other part but since it’s a new thing, challenges will emerge which need to be addressed immediately.

He added that at this point of time, there will be a need for the immigration department to work hand in hand with other departments, particularly on security matters in order to curb all those people who will either be crossing to either of the countries with intention of committing crimes.

“Security issues here matters a lot. But hope all the department concerned are equipped well in order to net all those who will be crossing from one country to another, with the intention of committing crimes or running away after committing crimes in another country,” Nombo said.

He said the immigration department will obviously need to be fast in clearing passport documents, but also will have to increase its keenness in the whole process in order to avoid allowing people who do not merit entering the country.

Nationals of East African countries will not require visas to travel to the other EAC member states, but may use valid national passports to travel within the region or use the East African Passport, which was introduced as a travel document to ease border crossing for East Africans.

The East African Passport may be used for travel within the EAC region only. It has a six months’ multiple entry validity, which is one of the privileges it accords the holder. Certificates of Identity or Inter-state passes, issued by local immigration authorities to citizens who cannot be readily issued with a passport in emergency situations, may be used to travel across the EAC in place of a passport.

The Protocol for the Establishment of the Common Market provides for the use of a machine readable National Identity Card for travel, but only for citizens of Partner States who have accepted among themselves the use of such.

Other documents will include the departure or entry card required to fill such information as name, contact details, purpose and duration of visit, etc, while departing from or entering any EAC Partner State.

The card is obtainable at all ports of entry for both departures and arrivals. However, in the case of the latter, the card may also be accessed on the vessel one uses (e.g. car, ferry, aircraft). On health requirements, a certificate of yellow fever vaccination is required at airports in Rwanda and Tanzania.

The protocol which was signed in November 20, last year, allows free movement of goods, services, capital and labour in the regional bloc.

Source: Daily News | EAC Common Market takes off amid skepticism

My Take:

It seems that these people (EAC member states) were not prepared for the coming of common market protocol. From this fiasco one can conclude that our leaders are after political show-off and making history, but not after streamlining development as they have been portraying. That is the reason they are constantly making political decisons without involving neither the stakeholders nor law enforcers'. This is the reason many people in East Africa, especially Bongo Land, are so skeptical of EAC because we know our leaders for who they are truly are not the image they are trying to portray.


With East Africa’s current leadership, we don’t need enemies. If these people are not going to be carefully, this union will ensued to be a nuisance and a big white elephant; instead, of the helping hand that many people once envisioned it to be.
 
seriously,watu ambao still mnataka passport to cross the borders & work permits kupata kazi EA,hivi zinawasaidia nini personally?na hizi akili za Arusha declaration anza kusahau,chezeni tuu mtajikuta mnakuwa owned na kenyans & Rwandese ndio mtatia akili,wabongo nawaonya at the end money will rule everything sio midomo tuu,atakaye kupa kazi ndio utampa kura yako sio blah blah mnazodanganyana hapa...wenzenu wameanza strategy how to utilize this thing nyie bado mnalia foul,kitu cha kwanza nawahakikishia TZ media will be taken over
 
Ndugu yangu uko eneo gani la nchi hii ? Mimi niko moshi sasa hivi na kila ninachotumia kila siku nanunua toka viwanda vya Tanzania idadi hiyo imekuwa inaongezeka kila siku hata nilipokuwa Nairobi siku 3 zilizopita niliweza kupata mahitaji haya haya ninayoyataka kwa kununua bidhaa za Tanzania nikiwa kwenye nchi ile , kwasasa viwanda vyetu vinajitahidi sana na uchumi wetu unakuwa kwa kasi ya ajabu labda miaka 10 inayo Tanzania inaweza kuwa kinara kwenye soko la pamoja na afrika mashariki kama hali ikiendelea kuwa kama ilivyosasa hivi .

Na kwa msisitizo unachoweza kufanywa kwa urahisi zaidi kwenye shuguli za soko hili ni mfano

Wewe uko njombe unashona vikapo vile vikapo sasa vitaweza kuuzwa Kenya au Rwanda bila masharti na sheria zingine ambazo zilikuwa zinazuia bidhaa kama hizo toka nchi moja au nyingine kama huwezi kuuza wewe basi kuna vyama vya wafanya biashara vinavyonunua vikapo hivyo na kuvipeleka kwenye masoko mengine ya nchi jirani kama kungekuwa na tatizo kwenye jumuia kitu kama hicho ni ngumu kufanya hilo ni moja

Lingine ni kwamba kuna baadhi ya vitu vitafanyika kutokana na sheria za nchi husika kama masuala ya ardhi na zingine zingine
 
seriously,watu ambao still mnataka passport to cross the borders & work permits kupata kazi EA,hivi zinawasaidia nini personally?na hizi akili za Arusha declaration anza kusahau,chezeni tuu mtajikuta mnakuwa owned na kenyans & Rwandese ndio mtatia akili,wabongo nawaonya at the end money will rule everything sio midomo tuu,atakaye kupa kazi ndio utampa kura yako sio blah blah mnazodanganyana hapa...wenzenu wameanza strategy how to utilize this thing nyie bado mnalia foul,kitu cha kwanza nawahakikishia TZ media will be taken over


Mkimbizi usiyekuwa na nchi, wewe ni mkimbizi wa Rwanda wale wa 1959, kuzaliwa Tanzania na kusomeshwa bure ndiyo kunakupa kichwa. Ndiyo maana unakaa kuosha vyombo huko Marekani, manake kote kugumu. Mnaanza kugeukana kwenu Rwanda, sasa mnataka uraia kwa gear kama hizo, hapa mmenowa. Watu wa aina yako tunao kwenye hizi ofisi za umma, wakifanya kwa kificho, they are normally not confident na wanaisshia kwenye vinafasi vya chini, tunawajua tunawaacha manake ni wachache na hawana influence yoyote, lakini nao ni suala la muda kabla hatujaanza kuwavurumisha. Mtarudi bila hodi kama mlivyoondoka bila kuaga, msvyokuwa na fadhila. Unalinga kwa kujua Kiswahili cha Bongo ili tudhani wewe mwenzetu. Nyie mnatapa tapa tu, ndiyo maana mmejaa kila kona ya dunia, Kanada, Ufaransa kazi yenu kuosha vyombo vya wazungu. Nyambaf nyie, hapa hamlambi kitu. Ungekuwa na akili ungekwenda kusaidia ka nchi kako kanakolingana na kijiji ili muwe na amani, mambo magumu, mmeshaanza kuuana kama panya kama kawaida yenu. Nyie na wakenya mnafurahia msichokijua, matatizo yenu msidhani kuna mtanzania mwenye akili atakubali kuyabeba, this generation of half wit leaders usidhani ni ya kudumu. Cha msingi, get your houses in order, mnalilia muungano ambao hamtakuja kuupata kamwe! Ushindani ushindani uliopo hautoshi with thousands of graduates each year u think we need unskilled illegal aliens! But it's those jobless who will screw u up! Nakwambia your kind nakutana nao, but when you grill them, wanaamua kubadilisha joints wanazo hang out, kuishi kama paka shume kwenye nchi ya mtu ndicho mnajisifia, na bado nakwambia this thing is going to back fire! Parasites you!
 
Mjumbe aliyesema blank cheque nadhani ameshamaliza kila kitu. Lengo lao si kufuata makubaliano, but rather other vested interests tu! But the ball is in our court, tusikate tamaa, hawawezi kutushinda wakiwa ndani ya mipaka yetu, unless tuwe majuha! asiyefuata sheria ni kumshughulikia kama kawaida. Loo, ni taabu sana kupakana na desperate people, ma-kamikaze!
 
Mkimbizi usiyekuwa na nchi, wewe ni mkimbizi wa Rwanda wale wa 1959, kuzaliwa Tanzania na kusomeshwa bure ndiyo kunakupa kichwa. Ndiyo maana unakaa kuosha vyombo huko Marekani, manake kote kugumu. Mnaanza kugeukana kwenu Rwanda, sasa mnataka uraia kwa gear kama hizo, hapa mmenowa. Watu wa aina yako tunao kwenye hizi ofisi za umma, wakifanya kwa kificho, they are normally not confident na wanaisshia kwenye vinafasi vya chini, tunawajua tunawaacha manake ni wachache na hawana influence yoyote, lakini nao ni suala la muda kabla hatujaanza kuwavurumisha. Mtarudi bila hodi kama mlivyoondoka bila kuaga, msvyokuwa na fadhila. Unalinga kwa kujua Kiswahili cha Bongo ili tudhani wewe mwenzetu. Nyie mnatapa tapa tu, ndiyo maana mmejaa kila kona ya dunia, Kanada, Ufaransa kazi yenu kuosha vyombo vya wazungu. Nyambaf nyie, hapa hamlambi kitu. Ungekuwa na akili ungekwenda kusaidia ka nchi kako kanakolingana na kijiji ili muwe na amani, mambo magumu, mmeshaanza kuuana kama panya kama kawaida yenu. Nyie na wakenya mnafurahia msichokijua, matatizo yenu msidhani kuna mtanzania mwenye akili atakubali kuyabeba, this generation of half wit leaders usidhani ni ya kudumu. Cha msingi, get your houses in order, mnalilia muungano ambao hamtakuja kuupata kamwe! Ushindani ushindani uliopo hautoshi with thousands of graduates each year u think we need unskilled illegal aliens! But it's those jobless who will screw u up! Nakwambia your kind nakutana nao, but when you grill them, wanaamua kubadilisha joints wanazo hang out, kuishi kama paka shume kwenye nchi ya mtu ndicho mnajisifia, na bado nakwambia this thing is going to back fire! Parasites you!

we mpuzi sisi ni foreigners na tunaishi vizuri kukushinda kwenye nchi yako, hiyo ndio inakufanya uwe mkali hivi wewe afisa wa serikali hata haya huna.. ka bank hako ka cheque kako ka elfu kumi, i'll drink more than that tonight with tanzanian broads...... true story, usijifanye hapa kuwa wewe ndio una monopoly ya intelligence, I can school you in your own game hapa kwenyu. Na hii sio vitisho vya internet, am this arrogant and God forbid the day i meet you, I'll talk isht to your face tuone kama kuna kitu unaeza fanyia watu.. Vitisho peleka mbali, wacha sisi tu vune shamba la bibi hili, nyie mmeshindwa hata mkiachiwa miaka ishirini toka sasa na watoto wenyu waanze kufunzwa entrepreneurship toka chekechea hamta endelea, hamna chochote nyie except inferiority complex. Nimekaa nanyinyi sana nawafahamu sana, wewe unajifanya una hamaki na tukipatana utaniamkua shkamo, ****** wewe.
 
we mpuzi sisi ni foreigners na tunaishi vizuri kukushinda kwenye nchi yako, hiyo ndio inakufanya uwe mkali hivi wewe afisa wa serikali hata haya huna.. ka bank hako ka cheque kako ka elfu kumi, i'll drink more than that tonight with tanzanian broads...... true story, usijifanye hapa kuwa wewe ndio una monopoly ya intelligence, I can school you in your own game hapa kwenyu. Na hii sio vitisho vya internet, am this arrogant and God forbid the day i meet you, I'll talk isht to your face tuone kama kuna kitu unaeza fanyia watu.. Vitisho peleka mbali, wacha sisi tu vune shamba la bibi hili, nyie mmeshindwa hata mkiachiwa miaka ishirini toka sasa na watoto wenyu waanze kufunzwa entrepreneurship toka chekechea hamta endelea, hamna chochote nyie except inferiority complex. Nimekaa nanyinyi sana nawafahamu sana, wewe unajifanya una hamaki na tukipatana utaniamkua shkamo, ****** wewe.


PM contacts zako sasa mburukenge wewe! Tuma sasa hivi, kama siyo kuishi kama paka shume, kwa kujificha ficha kama mwizi au kibaka.
 
Mkimbizi usiyekuwa na nchi, wewe ni mkimbizi wa Rwanda wale wa 1959, kuzaliwa Tanzania na kusomeshwa bure ndiyo kunakupa kichwa. Ndiyo maana unakaa kuosha vyombo huko Marekani, manake kote kugumu. Mnaanza kugeukana kwenu Rwanda, sasa mnataka uraia kwa gear kama hizo, hapa mmenowa. Watu wa aina yako tunao kwenye hizi ofisi za umma, wakifanya kwa kificho, they are normally not confident na wanaisshia kwenye vinafasi vya chini, tunawajua tunawaacha manake ni wachache na hawana influence yoyote, lakini nao ni suala la muda kabla hatujaanza kuwavurumisha. Mtarudi bila hodi kama mlivyoondoka bila kuaga, msvyokuwa na fadhila. Unalinga kwa kujua Kiswahili cha Bongo ili tudhani wewe mwenzetu. Nyie mnatapa tapa tu, ndiyo maana mmejaa kila kona ya dunia, Kanada, Ufaransa kazi yenu kuosha vyombo vya wazungu. Nyambaf nyie, hapa hamlambi kitu. Ungekuwa na akili ungekwenda kusaidia ka nchi kako kanakolingana na kijiji ili muwe na amani, mambo magumu, mmeshaanza kuuana kama panya kama kawaida yenu. Nyie na wakenya mnafurahia msichokijua, matatizo yenu msidhani kuna mtanzania mwenye akili atakubali kuyabeba, this generation of half wit leaders usidhani ni ya kudumu. Cha msingi, get your houses in order, mnalilia muungano ambao hamtakuja kuupata kamwe! Ushindani ushindani uliopo hautoshi with thousands of graduates each year u think we need unskilled illegal aliens! But it's those jobless who will screw u up! Nakwambia your kind nakutana nao, but when you grill them, wanaamua kubadilisha joints wanazo hang out, kuishi kama paka shume kwenye nchi ya mtu ndicho mnajisifia, na bado nakwambia this thing is going to back fire! Parasites you!

mkuu,chuki uliyonayo kwa hawa watu inashangaza.....whats the problem???wanakuja tz kutafuta maisha....wanaomba kazi mnawapa[eithr kwa rushwa au halali its not their fault].....tatueni matatizo yenu huko UHAMIAJI na UTUMISHI hamtawaona hao msiowataka....chuki hii unayoonyesha hapa JF HAITASAIDIA CHOCHOTE.....hio CM wanaruhusiwa kuja kuomba work permit na kazi na wattapata huwezi kuwazuia LEGALLY.....ndugu yangu comment zako kama za mtu anaitwa NICK GRIFFIN wa chama kinaitwa BNP nchini uingereza
 
Government against selling land to foreigners Friday, 02 July 2010 09:31

By The Citizen Reporter, Dodoma

The government has pledged to revoke land deals concluded between individual Tanzanians and foreigners.

The Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, told the National Assembly yesterday that the government will not tolerate people selling land to outsiders.

The PM issed the warning when replying to a question by Civic United Front (CUF) MP for Gando, Mr Khalifa Suleiman Khalifa, who had sought to know the government’s position on individuals selling land to foreigners.


He said the newly introduced EAC Common Market will not affect Tanzanian laws regarding land.

“I appeal to Tanzanians to realise that laws on land are still intact and applicable. The law doesn’t give room for individuals to sell land,” he told the august House.

He said a foreigner cannot be allowed to possess land in Tanzania unless he or she is an investor.

In a supplementary question, Mr Khalifa asked the Prime Minister to explain measures to be taken against employers who sack local employees and replace them with recruits from EAC partners states following the introduction of the Common Market Protocol.

Mr Pinda said employment will not be done haphazardly, stating that people from other EAC member states will be employed in areas where Tanzanians lacked expertise.

The EAC partner states are Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi and Rwanda.
 
we mpuzi sisi ni foreigners na tunaishi vizuri kukushinda kwenye nchi yako, hiyo ndio inakufanya uwe mkali hivi wewe afisa wa serikali hata haya huna.. ka bank hako ka cheque kako ka elfu kumi, i'll drink more than that tonight with tanzanian broads...... true story, usijifanye hapa kuwa wewe ndio una monopoly ya intelligence, I can school you in your own game hapa kwenyu. Na hii sio vitisho vya internet, am this arrogant and God forbid the day i meet you, I'll talk isht to your face tuone kama kuna kitu unaeza fanyia watu.. Vitisho peleka mbali, wacha sisi tu vune shamba la bibi hili, nyie mmeshindwa hata mkiachiwa miaka ishirini toka sasa na watoto wenyu waanze kufunzwa entrepreneurship toka chekechea hamta endelea, hamna chochote nyie except inferiority complex. Nimekaa nanyinyi sana nawafahamu sana, wewe unajifanya una hamaki na tukipatana utaniamkua shkamo, ****** wewe.

taratibu kaka/dada.....sidhani kama ni busara kutumia comment za mtu mmoja kutukana watanzania wote,hata mimi nimekaa na wakenya ila siwezi kutukana wakenya wote kwasababu ya hawa 10-20 ninaowajua...........

 
taratibu kaka/dada.....sidhani kama ni busara kutumia comment za mtu mmoja kutukana watanzania wote,hata mimi nimekaa na wakenya ila siwezi kutukana wakenya wote kwasababu ya hawa 10-20 ninaowajua...........

sawa mkuu.. my apologies homes
 
Back
Top Bottom