chash
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 548
- 230
Mimi nadhani kitu kimoja kinacho changia slums kuongezeka Tanzania ni tabia ya kutoza kodi kuanzia miezi mitatu na zaidi. Na ni bora ingelikuwa mitatu, wapangishaji walio wengi wanataka mwaka au miezi sita. Hiyo, mtu anaye anza maisha inabidi aanzie kwenye nyumba za hali ya chini. Mtu anapaswa alipe kuanzia mwezi moja na deposit ya mwezi mmoja. Kuna miji watu wakiambiwa walipe kodi miezi miwili miliwi tu watu wote watarudi mashambani