East African Presidents turning states into Political chaos!

 
Ningeweza kuendeleza huu mjadala kama ningegundua kwamba lengo lako ni majadiliano ili kupata maoni mbalimbali ambayo ni tofauti na yako, lakini inaonekana wewe ni mtu wa hovyo unaweka matusi na kuitana wapumbavu kwa sababu tu mtu ametoa maoni tofauti na wewe, kww hiyo nikujulishe kwamba wewe sio mstarabu, huna akili na ni mpumbavu mkubwa sanaa, wewe uliona wapi duniani watu wote wakawa na mawazo yanayofanana?, kwa hiyo kila mtu mwenye mawazo tofauti na wewe basi ni mpumbavu?, kwani baba yako siku zote anakuwa na mawazo yanayofanana na wewe, je na yeye pia ni mpumbavu?.. Nguruwe wewe kasoro mkia.
 
Ulichosema ni kweli.afrika viongozi wa serikali wanatamaa ya madaraka,nadhani wengi wao wanachangiwa na umasikini wa familia zao,kwahiyo wanataka waendelee kuwepo madarakani ili waendelee kuiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…