East Africa's Capital, Nairobi City : photo gallery

Hehehe Najua kakuelewa da!!
Tuache thread yao naona tunaichafua
Wamependa tuichafue wenyewe
kwanini hakupost bila kuitaja Tanzania!! Tena kwa Dharau
Alitegemea nini

Akumbuke kuwa Youtube Kenya imejaa na Bongo flava
Hahaha ndio habari ya Mujini
bila hii kenya Hawana Furaha
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Fimbo ina chapa, ukileta nyenyenye fimbo chapa, [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] wakenya ni jipu tena jipu uchungu
 
Yani we mtu music upo
Kila kona !!
Unashinda mitandaoni Kuna kazi kweli inafanyika!?
 
Fimbo ina chapa, ukileta nyenyenye fimbo chapa, [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] wakenya ni jipu tena jipu uchungu
Naona ndugu yetu wanjala kakoma[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapa wanabip
Eti umesema MTV ni ya wapi?? Man MTV is an American cable TV, which Music and Artists are guided by Video Jockeys (Like influencers) The owners are Viacom. Any artist can feature on MTV, in specific countries it depends.
 
Eti umesema MTV ni ya wapi?? Man MTV is an American cable TV, which Music and Artists are guided by Video Jockeys (Like influencers) The owners are Viacom. Any artist can feature on MTV, in specific countries it depends.
Wanjala reply kwa MOTOCHINI
Muulize hayo
Mimi na hayo siyajui
Aliye yaleta humu ndio wakuulizwa
 
Moto chini, huyu rafikiyo, muongo sana huyu, aweza kudanganya ukapotea kwenu, shauri yako, mfate kwa hatari yako mwenyewe! πŸ˜‰
Wanjala hivi Willy Paul na bahati ni wanamuziki wa injili au na wazee wa genge?
 
Wanjala hivi Willy Paul na bahati ni wanamuziki wa injili au na wazee wa genge?
Hilo sijui mimi, bado halieleweka, lakini mi husikia kwamba ni injili. Kwani wewe lazima ujue wimbo ni Injili ama si injili ndio usikize?? Juzi Willy Paul ameimba na Alaini wimbo, twasuburi kutoka kwake, tujue kama ni injili ama sio.
 
Wamuona anavyo weka foleni ya Nyimbo za kibongo hapa kenya?? Nani hajui wakenya hupenda bongo flavor?? Kwanza Zuwenna mi naweza kutajia watu wewe mwenyewe hujawasikia kule Bongo, Wewe unajua kina Soggy Doggy?

Hahaha Soggy Doggy!!
 
Moto chini, huyu rafikiyo, muongo sana huyu, aweza kudanganya ukapotea kwenu, shauri yako, mfate kwa hatari yako mwenyewe! πŸ˜‰
Muongo !!
Akidanganya anajidanganya mwenyewe
Au ndio maana kakimbia namuita Haji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…