- Thread starter
- #61
bagamoyo sasa ulikuwa unataka waubomoe wakati wanatOka?? Nkt mnafikra za kitoto nkama ukisema ni urithi tulikuwa tuna faa kuzibomoa fyi the tallest building in Nairobi was 10 floors in 1963 na zilikuwa tano pekee...... Now 2015 kuna 248 buildings zenye ni 18floors and above within nairobi hzo bado ni mzungu alijenga??? Nkt mna ujinga sana na hii chuki yenu bila mipangilio nkt make me hate ur education system nkama hamfunzwi chochote down south
Last edited by a moderator: