PIMBI wanaojidai wanajua kumbe utopolo mtupu. Data zinazotoka kwenye stock markets ndo zinasema hivyo ww unakuja kupinga na ujuaji wako maandazi hapa. Huwa mnaudhi sana watu mnaotaka kubishana na data af mnaleta point za vijiweni, hayo ma-asset unayoongelea yanauzika? unadhan bank wanatajirika kwa kuchukua collateral zako ukishindwa kulipa mkopo? Chizi kabisa ww kasome kilichosababisha economic crisis ya 2008 ndo uje urudie kusoma pumba ulizoandika hapa
NMB wana market cap ya $505 Million af CRBD wako nyuma kabisa karibia nusu ya NMB wakiwa na $259 Million. Af ukiwa unaongelea utajiri wa kampuni tunaongelea market Capitalization na kumbuka hizo figures ni dola sio pesa ya madafu. Acha ujuaji wa kijinga
Market unaijua ww mat... market ya crdb utalinganisha na nmb.? Nmb hela wanazo wameizidi kidogo CRDB kama 100billions in tzs. Ni kwa sababu yakupunguza viwango vya mikopo kwaiyo cash wanayo.
CRDB wanakopesha zaidi ndo maana cash wamezidiwa kama 100billions ivi.sasa kwa akili zako mat... unadhani kinachowapeleka watu benki ni nini? Mikopo mbwa www
Kingine iyo market unayoizungumzia crdb wanamarket zaidi ya nmb na wanarun operations within 2countries.
Pia huduma za crdb huwezi linganisha na nmb.muulize mtu yeyote apo atskueleza.
Kama hawatajiriki kuuzs collateral zangu unafkiri ni kwa nini wanaziuzs?Ili warudishe ela yao na faida yao maku www
Kilichosababisha financial crisis ya 2008 ni kukopesha kuzidi mtaji pia kuchukua collateral zinazohamishika na pia makadirio ya viwango vya mkopo kuwa ni kubwa kuzidi 50% ya collateral.Ndo maana unaona benki za uchochoroni saivi kama hawachukui dhamana yako/kama haijitoshelezi wanataka mdhamini anaeishi kwake na pia vitu vinavyohamishika kama magari sasaivi ni bima mbele kwanza.saivi angalia viwango vya benki.
Pesa hazitakiwi kuwa nje nyingi.
Ivi ww unadhani anaeandika izo data ni mamaako umuamini kiasi icho?Chakuambiwa changanya na chako
Yaani hapo stanchart ya kenya ndo ingeshika nafasi ya kcb. Afu kcb ingekua ya mwisho apo kwenye listi ndo ningeshawishika coz kcb wanarun operation east africa more than 2 countries. Na ishu sio crdb kuwa kwenye iyo listi bali kcb doesn't deserve the namba nigga
Market ya benki ni kuuza pesa sio kukaa na pesa nyingi. Unatakiwa uwe na cash nusu.5 au nusu kamili ya asset zote unazomiliki ili usurvive kwenye financisl crisis.
Sio ujuaji ni uelewa tu.Don't be rigid,try something new