Kwa mujibu wa hii list Ina maana kuwa makampuni mengine yaliyo ktk nchi nyingine lako below 10Hata mimi nimejiuliza hilo swali.Ila kwa kigezo hicho haishindikani kampuni zote kutoka nchi moja,Kenya ndiyo nchi kwanza yenye uchumi mkubwa kulinganisha na nchi zote za A.Mashariki.
Market unaijua ww mat... market ya crdb utalinganisha na nmb.? Nmb hela wanazo wameizidi kidogo CRDB kama 100billions in tzs. Ni kwa sababu yakupunguza viwango vya mikopo kwaiyo cash wanayo.PIMBI wanaojidai wanajua kumbe utopolo mtupu. Data zinazotoka kwenye stock markets ndo zinasema hivyo ww unakuja kupinga na ujuaji wako maandazi hapa. Huwa mnaudhi sana watu mnaotaka kubishana na data af mnaleta point za vijiweni, hayo ma-asset unayoongelea yanauzika? unadhan bank wanatajirika kwa kuchukua collateral zako ukishindwa kulipa mkopo? Chizi kabisa ww kasome kilichosababisha economic crisis ya 2008 ndo uje urudie kusoma pumba ulizoandika hapa
NMB wana market cap ya $505 Million af CRBD wako nyuma kabisa karibia nusu ya NMB wakiwa na $259 Million. Af ukiwa unaongelea utajiri wa kampuni tunaongelea market Capitalization na kumbuka hizo figures ni dola sio pesa ya madafu. Acha ujuaji wa kijinga
Ndugu hebu tulia kidogo. Market capitalization ni thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa kama DSE kwa hapa nyumbani na NSE kwa Kenya .Market unaijua ww mat... market ya crdb utalinganisha na nmb.? Nmb hela wanazo wameizidi kidogo CRDB kama 100billions in tzs. Ni kwa sababu yakupunguza viwango vya mikopo kwaiyo cash wanayo.
CRDB wanakopesha zaidi ndo maana cash wamezidiwa kama 100billions ivi.sasa kwa akili zako mat... unadhani kinachowapeleka watu benki ni nini? Mikopo mbwa www
Kingine iyo market unayoizungumzia crdb wanamarket zaidi ya nmb na wanarun operations within 2countries.
Pia huduma za crdb huwezi linganisha na nmb.muulize mtu yeyote apo atskueleza.
Kama hawatajiriki kuuzs collateral zangu unafkiri ni kwa nini wanaziuzs?Ili warudishe ela yao na faida yao maku www
Kilichosababisha financial crisis ya 2008 ni kukopesha kuzidi mtaji pia kuchukua collateral zinazohamishika na pia makadirio ya viwango vya mkopo kuwa ni kubwa kuzidi 50% ya collateral.Ndo maana unaona benki za uchochoroni saivi kama hawachukui dhamana yako/kama haijitoshelezi wanataka mdhamini anaeishi kwake na pia vitu vinavyohamishika kama magari sasaivi ni bima mbele kwanza.saivi angalia viwango vya benki.
Pesa hazitakiwi kuwa nje nyingi.
Ivi ww unadhani anaeandika izo data ni mamaako umuamini kiasi icho?Chakuambiwa changanya na chako
Yaani hapo stanchart ya kenya ndo ingeshika nafasi ya kcb. Afu kcb ingekua ya mwisho apo kwenye listi ndo ningeshawishika coz kcb wanarun operation east africa more than 2 countries. Na ishu sio crdb kuwa kwenye iyo listi bali kcb doesn't deserve the namba nigga
Market ya benki ni kuuza pesa sio kukaa na pesa nyingi. Unatakiwa uwe na cash nusu.5 au nusu kamili ya asset zote unazomiliki ili usurvive kwenye financisl crisis.
Sio ujuaji ni uelewa tu.Don't be rigid,try something new
Umemjibu vzr sana lkn sidhan kama ataelewa.Ndugu hebu tulia kidogo. Market capitalization ni thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa kama DSE kwa hapa nyumbani na NSE kwa Kenya .
Na kampuni inapokwenda public kwa kuuza hisa zake si lazima iuze zote mfano kama sikosei Vodacom waliuza asilimia 20 tu ya hisa. Pia hizi ni taarifa ambazo ziko wazi ni suala la wewe tu kuthibitisha.
Kwa upenyo wako wa akili siwezi discuss economic crisis ya 2008 na ww usiejua tofauti ya market cap na market.Kilichosababisha financial crisis ya 2008 ni kukopesha kuzidi mtaji pia kuchukua collateral zinazohamishika na pia makadirio ya viwango vya mkopo kuwa ni kubwa kuzidi 50% ya collateral.Ndo maana unaona benki za uchochoroni saivi kama hawachukui dhamana yako/kama haijitoshelezi wanataka mdhamini anaeishi kwake na pia vitu vinavyohamishika kama magari sasaivi ni bima mbele kwanza.saivi angalia viwango vya benki.
Mkuu taarifa nyingi za stock exchange huwa ni za kupika sana ili kufanya biashara. Bado hainiingii kichwani kcb inapataje trust yakuaminiwa na plc. Share holders kuliko STANDARD CHARTERED KENYANdugu hebu tulia kidogo. Market capitalization ni thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa kama DSE kwa hapa nyumbani na NSE kwa Kenya .
Na kampuni inapokwenda public kwa kuuza hisa zake si lazima iuze zote mfano kama sikosei Vodacom waliuza asilimia 20 tu ya hisa. Pia hizi ni taarifa ambazo ziko wazi ni suala la wewe tu kuthibitisha.
Mkuu taarifa nyingi za stock exchange huwa ni za kupika sana ili kufanya biashara. Bado hainiingii kichwani kcb inapataje trust yakuaminiwa na plc. Share holders kuliko STANDARD CHARTERED KENYANdugu hebu tulia kidogo. Market capitalization ni thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa kama DSE kwa hapa nyumbani na NSE kwa Kenya .
Na kampuni inapokwenda public kwa kuuza hisa zake si lazima iuze zote mfano kama sikosei Vodacom waliuza asilimia 20 tu ya hisa. Pia hizi ni taarifa ambazo ziko wazi ni suala la wewe tu kuthibitisha.
Kwa upenyo wako wa akili siwezi discuss economic crisis ya 2008 na ww usiejua tofauti ya market cap na market.
U don't even know the economic crisis.how can u discuss t'ings"Kwa upenyo wako wa akili siwezi discuss economic crisis ya 2008 na ww usiejua tofauti ya market cap na market.
Hoja mfuHapo kampuni za wa Kenya wazawa ni moja tu, zingine ni za mabepari na wa hindi wanafanya capital fright tu.......