Kwenye ground Kenyans are at zeroUnamanisha kwamba mtatuweza kwenye ground au sijakuelewa..
Tunahitaji vita itokee Afrika Mashariki angalau within the next decade, ili tunyooshane na kuheshimiana, tofauti na hali ilivyo sasa Kiuchumi kijamii na kisisasa . A couple of rounds of "friendly wars" in East Africa will do!God forbid!!! Singetaka vita vyoyote vitokee hapa afrika mashariki maana vitaleta hasara nyingi mno ikiwamo uchumi wa nchi husika kudorora. Tuendelee kudumisha amani. Mungu ibariki afrika
Naona hili dude linafyatua mabom na zile risasi nene, nzito, zile zinakata kabisa kiwiliwili zikipiga mtu kwa tumbo.Kha!! Huu ni utani sasa. Yaani kenya ishindane na Tanzania kwenye ground!!?.
Kwahiyo tukubaliane kuwa kwenye Air tunawapiga kipigo cha mbwa koko.
Sasa hebu niambie silaha gani mnaweza kutumia kwenye ground?
Kwenye ground tunaanza na hii
Type-59G tanks
View attachment 897978
Vp vijana wa mapang congoHata kama tutakuja kwenye war aggressiveness kenya hawana. Only 3 Alshabab waliwatoa jasho kenya nzima na kuondoka.
Ukabila utawafanya mtaanza kuchapana ninyi kwa ninyi.
.Seriously, nani hajui kwenye army Kenya tuna army strong? Equipment kutoka U.S.A, combat training kutoka U.S.A na Britain, mtawezana?
Kwn ilikuwa huongelei al shababTunaongelea Su-30 na Mig-29
Hhhhhh!!!hapa umefika...haya ruka ruka tena dogo kubwaSijakuelewa unaongelea M-21 au? Mbona hawalishafutika duniani. Muda wa week kadhaa tu tuliwapoteza.
Kwenye air mko sawa. Ngoja nizame nitarudi kupost Kenya army equipment. Wacha kwanza nitazame mechi Kenya vs EthiopiaKha!! Huu ni utani sasa. Yaani kenya ishindane na Tanzania kwenye ground!!?.
Kwahiyo tukubaliane kuwa kwenye Air tunawapiga kipigo cha mbwa koko.
Sasa hebu niambie silaha gani mnaweza kutumia kwenye ground?
Kwenye ground tunaanza na hii
Type-59G tanks
View attachment 897978
wewe huwa ni mzalendo kupitiliza uko kama mtangazaji wa mpira wa Kenya wa kipindi kilee, so kukuamini ni shidaSijakuelewa hapa. Hebu jaribu kufafanua kidogo, ili mjadala uwe mpana zaidi. Mimi nitakuja na nondo nyingi tu za kuelezea.
Wewe mwanamke kaa mbali wanaume wakiongea,hatutaki ujinga hapa.Kawauliza jwtz tz walifanyiwa nn na vijana wa mapang..yani unavamiwa na vijana wa mapana aisee...
Hahahaha!!! Yaani nchi huru mpaka leo bado inalilia wakoloni!!? Kwahiyo pasipo British & US nyie hamuwezi kujisimamia?
Hebu tuambie strategy mtakayoitumia wakati Su-30 na Mig-29 zikitia timu?
Hahahaha!!! Yaani nchi huru mpaka leo bado inalilia wakoloni!!? Kwahiyo pasipo British & US nyie hamuwezi kujisimamia?
Hebu tuambie strategy mtakayoitumia wakati Su-30 na Mig-29 zikitia timu?
Hahahaha!!! Yaani nchi huru mpaka leo bado inalilia wakoloni!!? Kwahiyo pasipo British & US nyie hamuwezi kujisimamia?
Hebu tuambie strategy mtakayoitumia wakati Su-30 na Mig-29 zikitia timu?
Hovyo kabisa.. Unategemea wazungu wakulilinde.... What if wakiamua kuondokaSoma historia..wakati Moja idi amin alitaka kutumia hayo majet y Russia kubomb NRB..Israel n USA wakarespond ilibidi a acheze chini
Hahahaha!!! Yaani nchi huru mpaka leo bado inalilia wakoloni!!? Kwahiyo pasipo British & US nyie hamuwezi kujisimamia?
Hebu tuambie strategy mtakayoitumia wakati Su-30 na Mig-29 zikitia timu?