elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Dirisha la misuko suko ya F.A ni ipi iyo mkuu kama nimeisahau vile
Sina hakika kama ndilo jina sahihi la ngoma ila chorus yake inai lyrics hizi
Ni dirisha la misukosuko
Kiza kinapotanda wakati siku imekwisha
Wakati umelala, wengine wanafikiri
Wrngine wanawaza shari mwana FA anatafakari.
Sina hakika hata kama lyrics nimepatia ila ilikuwa kwenye album yake ambayo ina wimbo unaitwa fagio aliomshirikisha dudubaya
Haya fagio tunaelewana
Wangapi wanajua wangapi wanakana
Haya fagio ukielewa mwambie mwenzio...
Sina hakika kama ndilo jina sahihi la ngoma ila chorus yake inai lyrics hizi
Ni dirisha la misukosuko
Kiza kinapotanda wakati siku imekwisha
Wakati umelala, wengine wanafikiri
Wrngine wanawaza shari mwana FA anatafakari.
Sina hakika hata kama lyrics nimepatia ila ilikuwa kwenye album yake ambayo ina wimbo unaitwa fagio aliomshirikisha dudubaya
Haya fagio tunaelewana
Wangapi wanajua wangapi wanakana
Haya fagio ukielewa mwambie mwenzio...
Na nicheki Oten
Sifa kumi za demu oten
Walikuwa Nouma