HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Kosa la nani sasaWasanii waliochukua form ni wachache sana kuna wasanii wamefanya vizuri sana mwaka huu wahapo apo imepunguza radha , mfano
Darasa
Billnass
Maua sama
Mr. Blue
Raymond
Harmonize
Shilole
Stamina
Roma
Jaymo
Belle9
Jux
Fid Q
Eddy kenzo
Bebe cool
Yamoto band
Chege
Madee
Elani
Na wengine kibao
Heeeeee!!!!!!!! Tm nani vile wwMuziki wa Tanzania unaendeshwa na media house,IPP kuanzisha tuzo hawawezi kupata support kutoka media house nyingine (Clouds,EFM,Sahara Media,TBC,Times,Magic/Chanel 10)
So automatically ni ngumu hizo tuzo kuwa kufana/kuwa na ushindani kuna wasanii wa Clouds hawawezi kushiriki hizo tuzo
UmemalizaHizi ni akili za kitumwa, hakuna tv station inayotazamwa na Watanzania wengi zaidi ya ITV wana EA tv kwa ajili ya entertainment na wana EA redio inasikika mpaka Nairobi na Kampala, achana na hicho kiredio cha washambenga clouds kinachoishia Magomeni.
Namshukuru Mungu kwakua kadiri chuki zinavyo zidi juu yake ndivyo anavyo zidi kubarikiwa. We pandikiza chuki hapo uendelee kumpa mafanikioAnasema Hataki Tuzo Eti Mziki Wake Ni Mkubwa Kuliko Tuzo, Halafu Anakimbilia Kwenda Kujaza Fomu Za EATV Awards! Kweli Too Many Dump People In This World.God Help! - WizkidAyo
Mfumo wa kuchukua form na kujipendeza kwenye categories unapunguza hamasa na value.Kosa la nani sasa
Wewe kwenye maisha yako ni kipi cha kukumbukwa ulicho fanya? Mwenzenu kwa juhudi zake kafika alipo ila kwakua ww una tabia za ibilisi unakalia majungu eti kisa umpendi?!!! Kwani we nani?Kiba ni haki yake kuwahia hizi tuzo, kwenye kabati lake ana uhaba wa tuzo mwacheni atleast na yeyey aongeze ongeze
Sio lazima iwe kama ilivyo zoeleka. Tofauti ipo kwenye kujipendekeza tu lkn mchakato wa kupiga kura upo pale pale... Utaelewa tuMfumo wa kuchukua form na kujipendeza kwenye categories unapunguza hamasa na value.
Raha ya tuzo upiga kazi nzuri then unaletewa taarifa umechaguliwa kuwania tuzo fulani, hata wewe mwenyewe unajifeel proud wadau wameiona kazi yangu , mfano umekaa unaletewa taarifa umechaguliwa kuwania tuzo za grammy, BET au Mtv ile feeling unaojisikia ndo value ya tuzo.
Sasa wewe unajipendekeza mwenyewe inaondoa msisimko kwa kweli inakuwa kama umelazimisha
Mimi ni mimi, punguza povu soma mada uelewe vizuri usitumie hisia kujieleza tumia ubongo.Wewe kwenye maisha yako ni kipi cha kukumbukwa ulicho fanya? Mwenzenu kwa juhudi zake kafika alipo ila kwakua ww una tabia za ibilisi unakalia majungu eti kisa umpendi?!!! Kwani we nani?
Baki kama ulivyoMimi ni mimi, punguza povu soma mada uelewe vizuri usitumie hisia kujieleza tumia ubongo.
Hujapewa ubongo kama pambo mkuu
Naona upo emotional sana na mambo ya mtandaoni kaka....punguza mapovu huyo unaemtetea hakupi ata hilo bando la kujibishana hum jf....wengne wapo humu for fanWewe kwenye maisha yako ni kipi cha kukumbukwa ulicho fanya? Mwenzenu kwa juhudi zake kafika alipo ila kwakua ww una tabia za ibilisi unakalia majungu eti kisa umpendi?!!! Kwani we nani?
Nadhani hujaelewa hoja yangu ya mshingi sizungumzii taratibu za kupata mshindi nazungumzia taratibu za kupata washirikiSio lazima iwe kama ilivyo zoeleka. Tofauti ipo kwenye kujipendekeza tu lkn mchakato wa kupiga kura upo pale pale... Utaelewa tu
Leta maziwa tupunguze sumuNaona upo emotional sana na mambo ya mtandaoni kaka....punguza mapovu huyo unaemtetea hakupi ata hilo bando la kujibishana hum jf....wengne wapo humu for fan
Ndo mana namm Nikakwambia tofauti ipo hapo tu kwenye kumpata mshiriki baada ya hapo hatua zingine ni zile zile. Acha waje kivingineNadhani hujaelewa hoja yangu ya mshingi sizungumzii taratibu za kupata mshindi nazungumzia taratibu za kupata washiriki
Wewe unaonaje mkuu inaongeza au inapunguza msisimko?Ndo mana namm Nikakwambia tofauti ipo hapo tu kwenye kumpata mshiriki baada ya hapo hatua zingine ni zile zile. Acha waje kivingine
Utachubuka vidole kubishana na mashabiki wa kiba yaani ni mashabiki ambao wapo desperate sana na mafanikio ya msanii wa upande wa pili so wapo radhi kwa kila kitu matusi kuharibu show pale diamond anapokuwepo show ambayo kiba yupo watafanya kila namna ili domo show imvurugikieNadhani hujaelewa hoja yangu ya mshingi sizungumzii taratibu za kupata mshindi nazungumzia taratibu za kupata washiriki
Umeandika nini hapo?Heeeeee!!!!!!!! Tm nani vile ww
Umejuaje ku reply kama hujui kusomaUmeandika nini hapo?