UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Sijawahi kujua ni utaratibu upi unatumika kukagua kipindi kabla hakijaenda hewani.
Nimekaa hapa na Bi Mkubwa na mwanangu wakati na switch Chanel kutoka TBC kwenda EATV baada ya kusikiliza maadhimisho ya siku ya baba Wa taifa ghafla NIVARNA wakawa wana tuzo sijui list ya wanawake wenye makalio Tanzania. Tujifanye wazungu sijui mnaishi LA au Paris hili swala sio sahihi.
Niiteni old fashioned, mshamba, vyovyote vile ila kuna kauli moja ya ninaimini sana na inasema "The world suffers a lot not because of the violence of bad people but because of the silence of good people".
Mnachokifanya EATV sio sahihi..
Nimekaa hapa na Bi Mkubwa na mwanangu wakati na switch Chanel kutoka TBC kwenda EATV baada ya kusikiliza maadhimisho ya siku ya baba Wa taifa ghafla NIVARNA wakawa wana tuzo sijui list ya wanawake wenye makalio Tanzania. Tujifanye wazungu sijui mnaishi LA au Paris hili swala sio sahihi.
Niiteni old fashioned, mshamba, vyovyote vile ila kuna kauli moja ya ninaimini sana na inasema "The world suffers a lot not because of the violence of bad people but because of the silence of good people".
Mnachokifanya EATV sio sahihi..