Ok, mi siwasapoti wala siwapingi kwasababu kuna vitu viko aut lazima vichechi ninani leo hii asiyeyaona makalio makubwa ??????? au ile ya mamodo ndo iko powa ???????mana vyote ni uzalilishaji tu na si kila kinachofanywa na jamii basi ni lazima na wewe kikushike ndo kiwe kizuri hapana vingine ni burudani kwa wengine
Ndugu yangu sio madhara walikua wanafanya promotion ya makalio na Masogange kashika namba moja