youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]eatv radio ni nini?
Celebrity forum ulitegemea ukute topic za viwanda ama ni kujitoa ufahamu?How can a man bother to discuss such a low and nonsense issue..Watu wengine hatuna kazi kabisa, lets use our brain to think big...nchi haiwezi kuwa na viwanda kama mawazo yetu ni ya kidiscuss mtu kavaa nguo gani...next time don't do that...
Hawa jamaa siku hizi hasa kipindi cha friday night wana promote sana upuuzi.Wakubwa hiki kitu naona imenifika kohon sababu ya hawa jamaa wa Eatv radio kuwa na kuhelehele cha kumhoji na kumpost nshu za calisah kila siku yaan kila wakipost huko twitter ni kuhsu calisah tu mara hili mara kesho lile mpaka nikaja kugundua kwmb so mm pekee ninaeudhuka na nshu za huyu jmaa pia raia kibao ssa wameamia kwa eatv na kuanza kuwaona km watu wa ajabu sana kushabikia ujinga
Ndio hawa hulaumu Jf imebadlka kumbe wenyewe Ndio wenye shida.Celebrity forum ulitegemea ukute topic za viwanda ama ni kujitoa ufahamu?
Utakua umekosea forum humu Jf kuna hadi majukwaa ya viwanda, nenda maadmin wakuaddHow can a man bother to discuss such a low and nonsense issue..Watu wengine hatuna kazi kabisa, lets use our brain to think big...nchi haiwezi kuwa na viwanda kama mawazo yetu ni ya kidiscuss mtu kavaa nguo gani...next time don't do that...
Bora hata ww unaeishia humu JF sis tinaojipeleka na huko kwingine tunajua balaa lakeKwani calisah ndio nani?
Hili nalo neno, we ni wa mkoa gan, labda redio haijafika tuwaletee na hukoeatv radio ni nini?
Kinachoboa mashudu ya jamaa yote anayatoa eatv hasa enewzBiashara matangazo,naona kama ushoga vile
Kabisa mkuu, yani mtu anaingia jukwaa analojua lina topic za namba flani halafu akizikuta anazisoma kwa burudani kabisa then ana comment kuwa ni ujinga.Ndio hawa hulaumu Jf imebadlka kumbe wenyewe Ndio wenye shida.
ea radio,not eatv radio.Hili nalo neno, we ni wa mkoa gan, labda redio haijafika tuwaletee na huko
Notedea radio,not eatv radio.