youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Wakubwa hiki kitu naona imenifika kohon sababu ya hawa jamaa wa Eatv radio kuwa na kuhelehele cha kumhoji na kumpost nshu za calisah kila siku yaan kila wakipost huko twitter ni kuhsu calisah tu mara hili mara kesho lile mpaka nikaja kugundua kwmb so mm pekee ninaeudhuka na nshu za huyu jmaa pia raia kibao ssa wameamia kwa eatv na kuanza kuwaona km watu wa ajabu sana kushabikia ujinga