el_magnefico
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 495
- 575
Na katika neno hilo ndio utajua nguvu ya uelewa wa mtu.Sio kubisha tu na kusema maneno ya kuponda tatizo letu wabongo tunasikiliza ili tujibu na sio kuelewa kwanza.Sidhani kama mmezingatia matumizi ya 'pekee' hapo
Wewe unadhani kwanin katika vituo vyote EATV na Redio ndo wamemaindi hii kauli?Uwepo WA TV na Radio ndio umewatoa wasanii wengi hususa na yeye pia.
Kauli aliotoa kiufupi hailidhishi... Je ulishawahi kuwaza kuwa Radio na TV visinge kuwepo, Wasanii Na Vipaji kiujumla tunge vitambua kwa namna gani. Zaidi Sanaa ingejawa na Ubinafsi usio pingika.
zinapigwakumbe hawachezi hata nyimbo zake! basi hawana haki ya kutokwa na povu
Sijaomba povu la kina dulla naomba clip ya hayo maneno ya mondi nimsikie mwenyewe mondi mbona unarudia kilekile over.
Wewe unadhani kwanin katika vituo vyote EATV na Redio ndo wamemaindi hii kauli?
Kwanini vituo vingine hawajamaind?
Yeye kasema hategemei TV na radio pekee , unaelewa maana ya hii kauli? Maana take anatumia pia vyanzo vingine piaSaijui ila nimezungumza kiujumla.
Kama ingekuwa kweli alichokisema, basi asingepata Fulsa kutambulisha nyimbo TV kuwa.
Wewe unadhani kwanin katika vituo vyote EATV na Redio ndo wamemaindi hii kauli?
Kwanini vituo vingine hawajamaind?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yawezekana hata Pocket Money ya wale mapacha wa Mengi ni utajiri wote wa Diamond na ukoo wake. Alafu Mzee wa watu akahangaike na huyo msanii ili apate nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza muhemko.
Eatv ni habari ya mujini toka Dimond anaosha masufuria studio kwa bob Junior
Ndo mabashite hao kitu kinaeleweka kujitoa tu ufahamu tunaita kukurupuka kama kitu hujaelewa uliza afu mbona kujitesa si walete iyo clip ya mondi wanaleta ya vilaza wenzao kina dullaYeye kasema hategemei TV na radio pekee , unaelewa maana ya hii kauli? Maana take anatumia pia vyanzo vingine pia
Sijui hapo watu hawajaelewa nini
Hajafanya kosa kutamka hayo maneno, huwezi tegemea tv na radio pekee kwa nyakati hizi. Sasa mbona huo ni ukweli unaojulikana na mond anawaamsha wasanii ambao hawatumii social net kuuza kazi zao. Mond anaakili sanaOyaa, kubali yaishe Diamond hapaswi kutamka hayo maneno kwa biashara anayoifanya.
Unazidiwa upeo wa kufikiri hadi na watu wenye akili fupi ya shule ya msingi tu.
Hajafanya kosa kutamka hayo maneno, huwezi tegemea tv na radio pekee kwa nyakati hizi. Sasa mbona huo ni ukweli unaojulikana na mond anawaamsha wasanii ambao hawatumii social net kuuza kazi zao. Mond anaakili sana
Wewe kweli daudi mcha _ mbuzi
Social media inanguvu tukubali.. watu gani hamtaki mabadiliko?? Media zenyewe zinapiga nyimbo za wasaniii hata haziwalipi.. watia wasanii umaskini tuWasanii wote wanategemea TV na Radio kufikisha wakiimbacho sasa mtu akifanikiwa kidogo anajiona kamaliza kila kitu ni tabia ya K Tz, amesahau kuwa mwanzo yy ndo alikuwa a naomba ngoma zake zipigwe na hivyo anavyonyali Leo, yeye bila media asinge fika hapo so kupayuka aliyopayuka ni kudharau aliko tokea
Social media inanguvu tukubali.. watu gani hamtaki mabadiliko?? Media zenyewe zinapiga nyimbo za wasaniii hata haziwalipi.. watia wasanii umaskini tu
Ukweli mtupu mkuu mfano hai in HarmoRapa amekuwa maarufu mtandaoni akiwa hana hats nyimbo moja redioniDiamond anachosema ni kweli tena kwa asilimia 70 kwa sasa, hii kauli usiiangalie kama shabiki au hater wake lakini angalia kama msomi anaefanya Trend Analysis.
Hawa watu hawajui kusoma alama za nyakati, angalia MTV ya Marekani siku hizi hawapigi kabisa mziki maana wanajua watu hawa angalii mziki kwenye TV bali wamehamia YouTube na radio zimekuwa replaced na vitu kama Spotify, Apple music na Google play music.
Sasa kwa Tanzania siku baada ya siku hichi kitu kina kuja... Internet penetration inakua na spidi zaanzakuwa za uhakika mfano Halotel kufuga vifaa vijijini pamoja na hawa majamaaa kama kina Samsung na hususani Tecno wakiendelea kusambaza simu kwa bei ya chini consumption ya information ita hama toka kwenye traditional media tu internet.
Na kwa sasa maslahi kwa msanii yapo vizuri zaidi online kuliko huku kwenye TV na radio wanapo piga mziki wako bure. Wakati kwenye Internet ukipromote bidhaa kwenye page yako unapata hela, nyimbo yako ikiwaplayed unapata hela.