Ebitoke na Ben Pol Dhahiri Shahiri..mambo yametiki...

Watu wanachezea akili za watu na kuna watu wanawaamini
Si washajua watanzania wengi ni mazezeta halafu wepesi wa kusahau,hata mkulu na mwanaenao wanatembelea mulemule kuchezea akili za mazezeta.
 
Wasanii wa Bongo wanajulikana kwa kiki zao kuliko kazi wanazotoa.
 
Aren't they lovely.. !!!??
Yeah man! They were made for each other. Kitasa kimepata ufunguo wake.Nampa sana hongera Bitoke kwa kueleza hisia zake bila kujivunga. Wadada, igeni mfano wa Bitoke, msife na lipstick mdomoni na wanja machoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…