Big jay
Member
- Mar 14, 2013
- 96
- 33
Wakuu hii habari si mpya hapa jamvini na serikali inatambua kuwapo na ugonjwa huu lakini kinachosikitisha hakuna hatua zozote za kujihami zilizochukuliwa hususani mipakani na viwanja vya ndege,,,,
juzi nimetoka congo kupitia barabara niliookua nagonga passport upande wa Zambia nilishangaa kuona maafisa uhamiaji wamevalia vitambaa maalumu kuziba midomo na mikononi wakiwa wamevalia grooves na kabla haujagonga passport unakaguliwa na daktari ktk chumba maalumu na kupewa yellowcard (ya chanjo)
baada ya kutembea leo hii nimefika border ya Tunduma kwa upande wa zambia ni kama vile kasumbalesa dr na maofisa wote wapo kwa protector Cha kushangaza ni upande wa Tanzania uhamiaji wamejiachia tu bila kinga wala kujali na kuna dada ambae ni dr wa serikali akiwa na jamaa nae ni dr pale costorm ni kama wanapiga story wakisubiria mda uishe wanyanyue kwenda makwao.
ni kwamba serikali haijali kwa kudhania ugonjwa huu hautafika huko waliko ? labda nikuhakikishieni wakuu hapa border Ndipo naishi na nilipozaliwa kwa siku wageni wanaoingia si chini ya watu 3000 na hao hao wengi wanakuja dar na wengine nairobi je Ebola ikipenya kwa hapo je Tutasalimika? naomba serikali iwe makini na swala hili na kwa congo huu ugonjwa umedhitishwa kuingia na waziri wa afya,,,au sie mpaka tufe ndio serikali ijue?
juzi nimetoka congo kupitia barabara niliookua nagonga passport upande wa Zambia nilishangaa kuona maafisa uhamiaji wamevalia vitambaa maalumu kuziba midomo na mikononi wakiwa wamevalia grooves na kabla haujagonga passport unakaguliwa na daktari ktk chumba maalumu na kupewa yellowcard (ya chanjo)
baada ya kutembea leo hii nimefika border ya Tunduma kwa upande wa zambia ni kama vile kasumbalesa dr na maofisa wote wapo kwa protector Cha kushangaza ni upande wa Tanzania uhamiaji wamejiachia tu bila kinga wala kujali na kuna dada ambae ni dr wa serikali akiwa na jamaa nae ni dr pale costorm ni kama wanapiga story wakisubiria mda uishe wanyanyue kwenda makwao.
ni kwamba serikali haijali kwa kudhania ugonjwa huu hautafika huko waliko ? labda nikuhakikishieni wakuu hapa border Ndipo naishi na nilipozaliwa kwa siku wageni wanaoingia si chini ya watu 3000 na hao hao wengi wanakuja dar na wengine nairobi je Ebola ikipenya kwa hapo je Tutasalimika? naomba serikali iwe makini na swala hili na kwa congo huu ugonjwa umedhitishwa kuingia na waziri wa afya,,,au sie mpaka tufe ndio serikali ijue?