Tetesi: Ebola in East Africa

Tetesi: Ebola in East Africa

WHO wao wlaichunguza tu huyo mdada km kapitia wapi na wapi mpka kufikia bongo..jiuluze walijuaje km alifika tanzania...ripoti zote za ma hospitali wako nazo hao jamaa...sasa usilete siasa katika hili jambo
Sasa hao WHO kama walikuwa wanamfuatilia huyo dada mwenye ebola kwa nini hawakumzuia hadi aingie bongo!!! Hao nao wana agenda binafsi,serikali ya tz iwe macho na hawa waseng tukiendelea kuwachekea watatuletea majanga siku moja

Hakuna ebola bongo na kama ipo basi imeletwa na haohao WHO
 
Mbna ndege zao mmezinunua...
Kisha hii tabia ya watu kujidharau naiona na watanzania walai..kila kitu kikifanyika yeye huanza kujilaumu kisa eti yeye ni ngozi nyeusi...wake up my friend
Hao ndo wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku africa ,halafu tunawatetea sisi waafrika siku tukija kupata akili hawa wasenge washatuumiza sana..hao ndo wanaotuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku afrika,wanatutumia kwenye majaribio yao halafu sisi tunajifanya tunawajua sana,eti kusafiri nje ya tanzania,mambo madogo kama haya kuyajua si lazima uwe umeenda ulaya au america
 
Back
Top Bottom