Tetesi: Ebola in East Africa

WHO wao wlaichunguza tu huyo mdada km kapitia wapi na wapi mpka kufikia bongo..jiuluze walijuaje km alifika tanzania...ripoti zote za ma hospitali wako nazo hao jamaa...sasa usilete siasa katika hili jambo
 
Mbna ndege zao mmezinunua...
Kisha hii tabia ya watu kujidharau naiona na watanzania walai..kila kitu kikifanyika yeye huanza kujilaumu kisa eti yeye ni ngozi nyeusi...wake up my friend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…