Eboo! Tumechoka Sasa kila kitu kuigwa tu! Na nyie muwe mnaanzisha vya kwenu na muone Kama sisi tutaiga!

Eboo! Tumechoka Sasa kila kitu kuigwa tu! Na nyie muwe mnaanzisha vya kwenu na muone Kama sisi tutaiga!

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Hivi nyie 'nyuma mwiko' hamkui Tu! Mnatushangaza Sana, mmekuwa wa ku-copy and paste. Kila 'Nguvu moja' ikianzisha Jambo, basi Nyuma mwiko' lazima waige.

Kwa nini mnapenda Kula makombo! Tumemwacha Okrah nyie mkambeba, Baleke, Mkude na Chama mkamtolea udenda.

Haijaisha, tumekwenda South Africa kumleta Fadlu nanyi bila soni mkatufuata huko huko!

Haya sasa Sandaland anataka kumshtaki Ally Kamwe, na mlivyo Kama Yule jamaa alivyowasema kuwa huko wenye akili NI wawili

Tu, bahati mbaya kweli hamnazo mnashindwa kuelewa kuwa Sandaland ni business name na sio Simba Sports Club, sasa mnakurupuka kumshtaki Semaji letu Ahmed Ally.

Tahadhari Msiige tembo kunya mtapasuka msamba! Mtamlipa fidia Ahmed Ally, tusubiri tuone!

Bwege wenu kayatimba Kwa Sanda sio Simba!
Sisi hatuigi yenu, mfano mmeanzisha kunywa supu ya vibudu, mmeona Nani kawaiga?
 
Hivi nyie 'nyuma mwiko' hamkui Tu! Mnatushangaza Sana, mmekuwa wa ku-copy and paste. Kila 'Nguvu moja' ikianzisha Jambo, basi Nyuma mwiko' lazima waige. Kwa nini mnapenda Kula makombo! Tumemwacha Okrah nyie mkambeba, Baleke, Mkude na Chama mkamtolea udenda.
Haijaisha, tumekwenda South Africa kumleta Fadlu nanyi bila soni mkatufuata huko huko!
Haya sasa Sandaland anataka kumshtaki Ally Kamwe, na mlivyo Kama Yule jamaa alivyowasema kuwa huko wenye akili NI wawili Tu, bahati mbaya kweli hamnazo mnashindwa kuelewa kuwa Sandaland ni business name na sio Simba Sports Club, sasa mnakurupuka kumshtaki Semaji letu Ahmed Ally. Tahadhari Msiige tembo kunya mtapasuka msamba! Mtamlipa fidia Ahmed Ally, tusubiri tuone! Bwege wenu kayatimba Kwa Sanda sio Simba!
Sisi hatuigi yenu, mfano mmeanzisha kunywa supu ya vibudu, mmeona Nani kawaiga?
Sanda vs sandaland, swali fikirishi je haya maneno yako tofauti?
 
Simba ilimsajili Mpanzu ili kumuandaa mapema kwa dirisha dogo, nao mapemaa wakaleta Mganda. Yaani wanacheza mle mle....
 
Walidamka na kutangulia siku moja kabla kwenda Algeria, lakini wajuani wakaondoka siku iliyofuata na wakashangaa wanafika pamoja Algeria
 
Hivi nyie 'nyuma mwiko' hamkui Tu! Mnatushangaza Sana, mmekuwa wa ku-copy and paste. Kila 'Nguvu moja' ikianzisha Jambo, basi Nyuma mwiko' lazima waige.

Kwa nini mnapenda Kula makombo! Tumemwacha Okrah nyie mkambeba, Baleke, Mkude na Chama mkamtolea udenda.

Haijaisha, tumekwenda South Africa kumleta Fadlu nanyi bila soni mkatufuata huko huko!

Haya sasa Sandaland anataka kumshtaki Ally Kamwe, na mlivyo Kama Yule jamaa alivyowasema kuwa huko wenye akili NI wawili

Tu, bahati mbaya kweli hamnazo mnashindwa kuelewa kuwa Sandaland ni business name na sio Simba Sports Club, sasa mnakurupuka kumshtaki Semaji letu Ahmed Ally.

Tahadhari Msiige tembo kunya mtapasuka msamba! Mtamlipa fidia Ahmed Ally, tusubiri tuone!

Bwege wenu kayatimba Kwa Sanda sio Simba!
Sisi hatuigi yenu, mfano mmeanzisha kunywa supu ya vibudu, mmeona Nani kawaiga?
Haya sasa Sandaland anataka kumshtaki Ally Kamwe, na mlivyo Kama Yule jamaa alivyowasema kuwa huko wenye akili NI wawili
 
Back
Top Bottom