Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Siku nilivyo mtumia nauli demu afu hakutokea na Hotel nimelipia daah!
Nipale walipomuhisi ndugu yangu wa kike ni Mwarabu.
Ilikua hivi alianzisha mahusiano na jamaa hatimae mimba basi yule jamaa akataka kumuoa na taarifa alizopeleka kwao nikwamba anaoa mpemba basi Kama ilivyoada walienda kuroga ili kukwepa ubaguzi.
Kutoka kwa waarabu Kumbe mwenzangu na mimi ni mpare mmoja hivi asiyekuwa na mbele Wala nyuma, kiufupi yule jamaa alivyojua mwenzangu na mie siyo mpemba aliingia chaka huku mwenzangu na mie akiwa kambebea na mimba.
Aisee kupitia tukio lile nilijifunza kitu, yaani usione mtu kaowa mwarabu ukazani mwarabu kampenda kweli hapana niuchawi unatumika, kiasili waarabu hawataki kabisa kuchanganya damu na watu weusi wanaamini wanakaribisha laana kwenye ukoo wao yaani hiyo ni asili yao waarabu kuwa wabaguzi.
Ila jamaa walivyotupumbaza light dogo angekuwa Mwarabu walikuwa wanachuku goma bila zengwe.
Si kweli.. ...Nipale walipomuhisi ndugu yangu wa kike ni Mwarabu.
Ilikua hivi alianzisha mahusiano na jamaa hatimae mimba basi yule jamaa akataka kumuoa na taarifa alizopeleka kwao nikwamba anaoa mpemba basi Kama ilivyoada walienda kuroga ili kukwepa ubaguzi.
Kutoka kwa waarabu Kumbe mwenzangu na mimi ni mpare mmoja hivi asiyekuwa na mbele Wala nyuma, kiufupi yule jamaa alivyojua mwenzangu na mie siyo mpemba aliingia chaka huku mwenzangu na mie akiwa kambebea na mimba.
Aisee kupitia tukio lile nilijifunza kitu, yaani usione mtu kaowa mwarabu ukazani mwarabu kampenda kweli hapana niuchawi unatumika, kiasili waarabu hawataki kabisa kuchanganya damu na watu weusi wanaamini wanakaribisha laana kwenye ukoo wao yaani hiyo ni asili yao waarabu kuwa wabaguzi.
Ila jamaa walivyotupumbaza light dogo angekuwa Mwarabu walikuwa wanachuku goma bila zengwe.