Ebu leo Tukumbushane kuhusu maandiko ya Mungu

Nani mwenye dhambi? Deals nyingi zenye hela ni za watu wanaoonekana wana dhambi walevi na wazinzi
 
1Wakorintho 13:4-7

4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.

5 Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya. 6 Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli. 7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.
 
hii imekaa vzur sana
yatupasa tuishi nayo
 
Shukrani..Neno zuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaburi : Mlango 23
1 BWANA ndiye mchungaji wangu,Sitapungukiwa na kitu.

Katika kipindi hki watu wana wasiwasi juu ya uhai wao kutokana na Corona basi huu mstari unawafaa..Nawashangaa watu wanahofu kubwa wanakimbilia kujificha ndani, wanatembea na mask.ni sahihi kuchukua tahadhari ila wanasahau kia Death is fate..
Mungu mwenye anasema kwenye zaburi hii hii kua bwana asipoulinda mji waulindao wanakesha. Hivyo hvyo kama usipoweka hatima yako na maisha yako mikononi mwa Mungu ukatumia uwezo wako tu eti mask au sanitizer itakulinda unafanya kazi bure. Death is fate Mungu pekee ndio anaweza kukuokoa na fate hiyo.

BTW kitabu changu bora kwenye biblia ni Muhubiri,Mithali,Luka na Zabauri.
I wish ningeweka hapa kitabu chote cha muhubiri
 
Ecclesiastes 9:7-10
7
Go, eat your food with gladness, and drink your wine with a joyful heart, for God has already approved what you do.
8 Always be clothed in white, and always anoint your head with oil. 9 Enjoy life with your wife, whom you love, all the days of this meaningless life that God has given you under the sun—all your meaningless days. For this is your lot in life and in your toilsome labor under the sun. 10 Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaburi 1 : 1
Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazan pa wenye mizaha
Bali sheria ya bwana ndiyo impendezayo na sheria yake huitafakari mchana na ucku
naye atakuwa kama mti uliopandwa kanndokando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake
wala jani lake halinyauki na kila alitendalo litafanikiwa.
 
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.

Mith 4:23
 
Zaburi 1 : 1
Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazan pa wenye mizaha
Bali sheria ya bwana ndiyo impendezayo na sheria yake huitafakari mchana na ucku
naye atakuwa kama mti uliopandwa kanndokando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake
wala jani lake halinyauki na kila alitendalo litafanikiwa.
 
Sefania: 1
17;Nami nitawaletea wanadamu dhiki,hata watakwenda kama vipofu,kwa sababu wamemtenda Bwana dhambi na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…