battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Qur-an
SURA YA 4(Sura ya haki za wanawake)
36. Muabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia( yaai familia na watumishi wa ndani). Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wenye majivuno,
SURA YA 4(Sura ya haki za wanawake)
36. Muabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia( yaai familia na watumishi wa ndani). Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wenye majivuno,