Alikugegeda au????
Yaani basi tu apo ilikuwa miaka ya 2002 ivo.mwakajuzi alinikuta kwenye ofisi fulani kwanza shangaaakikuona anaweza asiamini macho yake
Wewe unasema iyo ndo uthibitisho uku kilikuwa na hadithi ya mzee anko.Eti ooooooh! mimi nilisoma mpaka mahusiano nikawa nayaogopa.Wewe ulisoma kweli au unatania na kama ulisoma kweli niambie unaijua hii?
View attachment 205124
au unataka kuniambi wewe ni msomi ambaye uliikwepa hii
View attachment 205125