Ebwanae Mi nilikua Man-U damu damu ila ushabiki nilionao kwa Liverpool umepitiliza

Ebwanae Mi nilikua Man-U damu damu ila ushabiki nilionao kwa Liverpool umepitiliza

enock yusto

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2014
Posts
377
Reaction score
341
Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao .

Naamini siko peke yangu ila nakoelekea nahisi ntaachana na manu rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao .

Naamini siko peke yangu ila nakoelekea nahisi ntaachana na manu rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ni kilaza


Hivi liverpool nayo ni team ya mpira??

Ni kikund kinachorukaruka uwanjan huku kikisubili var iwape point 3



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shemeji amekulazimisha ushabikie Liverpool la sivyo anakata huduma!? N way usikubali kufa njaa na kukosa huduma muhimu,mzingatie alichokuagiza,mana akikata huduma utaeumia ni wewe sisi wengine hatutokuwa na msaada
 
Shemeji amekulazimisha ushabikie Liverpool la sivyo anakata huduma!? N way usikubali kufa njaa na kukosa huduma muhimu,mzingatie alichokuagiza,mana akikata huduma utaeumia ni wewe sisi wengine hatutokuwa na msaada
mkuu mrudishen WEB maana alikuwa ndio nguzo yenu mzee wa kuming'unya bazoka alipoona anaowategemea si msaada tena kabwaga manyanga

nawakumbusha tu huu n mwaka wa 7 miaka 30 sio mingi mkuu uspoteteze muda wako womenunited sio baba yako njoo huku kwa wajanja wenye mipango mmebak jina tu dogo halland kaenda dortmund kaona atapoteza future yake tu hapo


#tukutanemeikwapalikinyanyuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao .

Naamini siko peke yangu ila nakoelekea nahisi ntaachana na manu rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu haupo pekeako tupo wengi sijui ndo tumeamia kwel mm man u ikipigwa nafurah kinouma ikishinda naumia sijui hii roho nimeitoa wap
 
mkuu mrudishen WEB maana alikuwa ndio nguzo yenu mzee wa kuming'unya bazoka alipoona anaowategemea si msaada tena kabwaga manyanga

nawakumbusha tu huu n mwaka wa 7 miaka 30 sio mingi mkuu uspoteteze muda wako womenunited sio baba yako njoo huku kwa wajanja wenye mipango mmebak jina tu dogo halland kaenda dortmund kaona atapoteza future yake tu hapo


#tukutanemeikwapalikinyanyuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Unachekesha kweli wewe VAR FC, yaani miaka yoote hyo uliyodumu bila ubingwa Wa EPL ndo unatupigia kelele kwa matazamio ya kubeba msimu huu? Kwani wewe bila VAR ni mtu sasa!?
 
Unachekesha kweli wewe VAR FC, yaani miaka yoote hyo uliyodumu bila ubingwa Wa EPL ndo unatupigia kelele kwa matazamio ya kubeba msimu huu? Kwani wewe bila VAR ni mtu sasa!?
without var man utd could join norwich on relegation zone..
Screenshot_20200103-214532.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, wewe unaishi wapi? Manchester au Liverpool?
 
Back
Top Bottom