Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
- Thread starter
-
- #21
πππ Mkuu....ila haukosi misemo ya wahenga..Eti machozi ya samaki hata alie aje yanabaki ndani ya majiππππSasa hiki ni kilio cha samaki, machozi yanabaki ndani ya MAJI. Tunachoweza kukusaidia ni kukupa namba za Simu za hao jamaa ili uwaulize hayo maswali. Pole sana jirani.
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu....ila haukosi misemo ya wahenga..Eti machozi ya samaki hata alie aje yanabaki ndani ya maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nika kwambia ranking nyengine ni za kijinga, eti economi freedom ilihali licha ya Kenya kua naa njaa, ni watanzania wengi mnakufa kuliko wakenya, How now??? if you were really free economically si mgekua na uwezo wa kukwepa magonjwa na vitu vinginevyo??? Economic freedom mbona bado mko miongoni mwa nchi zinazopokea misaada?How can you be generous while you do receive food aid every year?. That is non sense. Sisi tunazungimzia vitu ambavyo vinaleta maendeleo ya jamii na wananchi wake, Kenya inapotoa kwa nchi zingine, mkenya masikini inamsaidia nini?
Kiingereza kiiiiiiingi na kumbe kichwani hamna kitu economic freedom ni kitu cha kipuuzi!???...hawa wakenya wa siku hizi wanamatatizo gani?economic ranking yoyte ambayo inaiweka nchi kama hizo nyuma ya nchi yako ya LDC unafaa kupuuza.. It doesn't mean shit! Hata sisi huwekwa kwa ranking kama hizo tena tunatokea among top 30!
Most Generous Countries 2017, 2018 tulikua number 8 on the same ranking
Coutries that cotribute the most good to the World.. I.e Countries that are not a burden to the world...
The Good Country Index measures how much each of the 163 countries on the list contribute to the planet, and to the human race, through their policies and behaviors
Kenya is Number 55 in the world in Contributing to the World
View attachment 1192085
While Tanzania despite relative peace, you are a bigger burden to the world!!!! at number 100 out of 163
View attachment 1192090
The Good Country Index
The Good Country Index measures what each country on earth contributes to the common good of humanity and the planet.www.goodcountry.org
China is no more socialist, be updatedChina na Russia ndo wanaongoza kwa socialism , hauwezi ukaniambia eti mnazishinda hizi nchi kwa kitu ambacho wao ndo wanaongoza, kwahivyo ranking inakaa ya kipuzi
Tanzania is also nomore Ujamaa, be currentChina is no more socialist, be updated
Sijasema economic freedom ni upuzi, nimesema hii ranking ya econimic freedom ni upuzi mtupu,Kiingereza kiiiiiiingi na kumbe kichwani hamna kitu economic freedom ni kitu cha kipuuzi!???...hawa wakenya wa siku hizi wanamatatizo gani?
Yes! Kwani kuna mtu kakataa...!!!Tanzania is also nomore Ujamaa, be current
World's rising urban hubs...unaelewa maana yake??.. mbona jamaa unayumba,halafu maisha mazuri inategemea na fikra za mtu,we unadhani mtu mwenye biashara ya $15 in China na loan juu kama ulivyotolea mfano,unadhani atakuwa na maisha mazuri kuzidi mtu mwenye biashara ya $10 bongo...???Sijasema economic freedom ni upuzi, nimesema hii ranking ya econimic freedom ni upuzi mtupu,
Ni kama hii ranking ya worlds most commercially active cities, eti Nairobi ni number 6 duniani, Kwenye ranking kama hizi eti akina London,NY, Dubai, Tokyo,Miami wameachwa nyuma, how now???? Ranking kama hizi ni za kusoma alafu unafurahia alafu unasahau manake ni upuzi mtupu manake kuna miji hapo imetulia tu na wanaongoza kwa kila kitu...
Kuna mtu anaishi Beijin ako na $5m lakini kwasababu ya biashara anachukua deni la $10m kwahivyo kwa economic freedom utakuta amewekwa nyuma ya jamaa mwengine hapo tz ako na $50k lakini hana deni la mtu....... sasa hapo kati ya huyo wa China na huyo wa Tanzania nani ndo tajiri anaeishi maisha mazuri kulingana na wewe?These are the world's 20 most dynamic cities
Nairobi joins 19 cities in Asia in a ranking of the world's rising urban hubs.www.weforum.org
Kitawasambaratisha nyang'au wote.Hiki ni kishindo cha awamu ya tano
kenya has twice your gdpNimepitia hii orodha ni kashangaa sana kumbe Uchumi wa Kenya unaendeshwa kama wa North Korea.
Kenya - 130
Tanzania -94
Tanzania ni uchumi huru.
ππ
Country Rankings: World & Global Economy Rankings on Economic Freedom
Country rankings based on economic freedom. World and global economy rankings from the Index of Economic Freedom are published by The Heritage Foundation.www.heritage.org
Hiki kilio chako nimekisikia lakini sina uwezo wa kukusaidia, ni sawa na mtu anayeuliza iweje Kenya kuwa katika kundi la middle income countries wakati hata chakula ni shida, unemployment is the highest, slums everywhere, deni la taifa halibebeki.Ndio maana nika kwambia ranking nyengine ni za kijinga, eti economi freedom ilihali licha ya Kenya kua naa njaa, ni watanzania wengi mnakufa kuliko wakenya, How now??? if you were really free economically si mgekua na uwezo wa kukwepa magonjwa na vitu vinginevyo??? Economic freedom mbona bado mko miongoni mwa nchi zinazopokea misaada?
Nchi kama Iran iko na sanctions kibao, Hakuna lolote wanalo export wala ku import, licha ya hivyo, Bado wameweza kujimudu kiuchumi kwa kujitegemea wenyewe, alafu eti wanawekwa Chini kwenye economic freedom... how now?? wakati hao wanajitegemea wenyewe kwa kila kitu!
Nina uhakika zaidi ya 80% ya mashini zenu hapo Tanzania ni "made in China" laikini kulingana na hii ranking mko mbele yao kwa kujitegemea wenyewe kiunchumi! [emoji23] [emoji23]
Kenya has four times debts compared to TZ. Hahahaha, Hahahaha.kenya has twice your gdp
On this useless "economic freedom" ranking nakubaliana na wewe.Sijasema economic freedom ni upuzi, nimesema hii ranking ya econimic freedom ni upuzi mtupu,
Ni kama hii ranking ya worlds most commercially active cities, eti Nairobi ni number 6 duniani, Kwenye ranking kama hizi eti akina London,NY, Dubai, Tokyo,Miami wameachwa nyuma, how now???? Ranking kama hizi ni za kusoma alafu unafurahia alafu unasahau manake ni upuzi mtupu manake kuna miji hapo imetulia tu na wanaongoza kwa kila kitu...
These are the world's 20 most dynamic cities
Nairobi joins 19 cities in Asia in a ranking of the world's rising urban hubs.www.weforum.org
Kuna mtu anaishi Beijin ako na $5m lakini kwasababu ya biashara anachukua deni la $10m kwahivyo kwa economic freedom utakuta amewekwa nyuma ya jamaa mwengine hapo tz ako na $50k lakini hana deni la mtu....... sasa hapo kati ya huyo wa China na huyo wa Tanzania nani ndo tajiri anaeishi maisha mazuri kulingana na wewe?
Wewe huwezi sema chochote cha muhimu au kuwa mtaalamu hata kidogo bcoz all your responses and thinking is always based on raw emotions and ego. Mambo yako ni "emotional decisions" rather than rational ,dispassionate and logical thinking .This thinking pattern hurts you too usione kama ni Kenya unakandamiza tu...watu kama nyie you never learn to be open minded.Hiki kilio chako nimekisikia lakini sina uwezo wa kukusaidia, ni sawa na mtu anayeuliza iweje Kenya kuwa katika kundi la middle income countries wakati hata chakula ni shida, unemployment is the highest, slums everywhere, deni la taifa halibebeki.
lipeni deni ya South africa kwanza ..deni yetu ni 1.5 yenu yet our economy is biggerKenya has four times debts compared to TZ. Hahahaha, Hahahaha.
lipeni deni ya South africa kwanza ..deni yetu ni 1.5 yenu yet our economy is bigger
JLLβs City Momentum Index, now in its sixth iteration, focuses on momentum for the worldβs most commercially active cities.World's rising urban hubs...unaelewa maana yake??.. mbona jamaa unayumba,halafu maisha mazuri inategemea na fikra za mtu,we unadhani mtu mwenye biashara ya $15 in China na loan juu kama ulivyotolea mfano,unadhani atakuwa na maisha mazuri kuzidi mtu mwenye biashara ya $10 bongo...???
Hilo si swali ghumu, tunajua formula inayotumika kujua Middle income countryHiki kilio chako nimekisikia lakini sina uwezo wa kukusaidia, ni sawa na mtu anayeuliza iweje Kenya kuwa katika kundi la middle income countries wakati hata chakula ni shida, unemployment is the highest, slums everywhere, deni la taifa halibebeki.