Economic hitmen

Economic hitmen

Tatizo lenu nyie mmekalilishwa vibaya. Kama wewe umewahi kuishi nje ya nchi utanielewa, ila kama umekulia bongo tu basi utakuwa hunielewi. Mimi ninachomaanisha hapa ni hivi nchi ikiwa na umoja, na kiongozi/viongozi waadilifu economic hitman hawawezi kuharibu uchumi hata kidogo. Kinachotokea kt ya hizo financial institutions ni fair game tu. Hao economic hitman ni informal bodies that operate under the umbrella of those said financial institutions, lakini kikubwa lazima pawe na weakness ktk serikali, yaani serikali ijae wapiga dili kama akina lowasa. Mbona Rwanda wameweza? Mbona China wameweza? Mbona Ethiopia hao wameweza (tena kuongezea kuna jamaa zangu waethipia wao ukileta uanaharakati kama wa chadema wanakutupa mabwemapande), mbona wajapan wameweza? Hiyo mifano yenu ya amerika ya kusini haifanani na mazingira tuliyonayo kwa sasa, labda kama rais angekuwa lowasa hapo ningekubaliana na ninyi. Nchi nyingi za amerika ya kusini zinaongozwa na magenenge kama lile la lowasa (mfano mdogo tu, nina jamaa yangu ni mmexico anasema rais aliyepo sasa kaingizwa na watu wa madawa, na mpaka kipindi hiki serikali yake inakshfa kibao, na wao wanaendelea kulainisha mioyo ya watu kwa kuwapatia zawadi kam tv wananchi masikini, na mbinu aliyoingia nayo madarakani iko sawa kabisa na mbinu za lowasa alizotumia. In short mnahitaji kuuvaa utanzania ndiyo mtanielewa.
Dada yangu unajidhalilisha, ficha uch.i wako watoto wanakuchungulia, Mu-sir nakipataje hicho kitabu??
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu nyie mmekalilishwa vibaya. Kama wewe umewahi kuishi nje ya nchi utanielewa, ila kama umekulia bongo tu basi utakuwa hunielewi. Mimi ninachomaanisha hapa ni hivi nchi ikiwa na umoja, na kiongozi/viongozi waadilifu economic hitman hawawezi kuharibu uchumi hata kidogo. Kinachotokea kt ya hizo financial institutions ni fair game tu. Hao economic hitman ni informal bodies that operate under the umbrella of those said financial institutions, lakini kikubwa lazima pawe na weakness ktk serikali, yaani serikali ijae wapiga dili kama akina lowasa. Mbona Rwanda wameweza? Mbona China wameweza? Mbona Ethiopia hao wameweza (tena kuongezea kuna jamaa zangu waethipia wao ukileta uanaharakati kama wa chadema wanakutupa mabwemapande), mbona wajapan wameweza? Hiyo mifano yenu ya amerika ya kusini haifanani na mazingira tuliyonayo kwa sasa, labda kama rais angekuwa lowasa hapo ningekubaliana na ninyi. Nchi nyingi za amerika ya kusini zinaongozwa na magenenge kama lile la lowasa (mfano mdogo tu, nina jamaa yangu ni mmexico anasema rais aliyepo sasa kaingizwa na watu wa madawa, na mpaka kipindi hiki serikali yake inakshfa kibao, na wao wanaendelea kulainisha mioyo ya watu kwa kuwapatia zawadi kam tv wananchi masikini, na mbinu aliyoingia nayo madarakani iko sawa kabisa na mbinu za lowasa alizotumia. In short mnahitaji kuuvaa utanzania ndiyo mtanielewa.
Mudawote uwe unatoa na mifano hai hapa kwetu Tanzania. Sisi tumesema mambo haya yameshatokea na yanaendelea kwa mikataba mirefu wewe unasema hakuna. Unatoa mfano wa Rwanda kuna nini huko cha kuwavutia EHMs??

Sasa leta hoja za kujibu hizi hapa.

Hizo Western Financial Institutions ndizo tools wanazozitumia sana. Hawa ndio walioshauri nchi yetu ipunguze thamani yake dhidi ya Dola, pia walishauri serikali kufanya Redundance ya wafanyakazi wengi serikalini na wakashauri ubinafsishaji na soko huru. Waka infiltrate kwenye mfumo wetu wa kiuchumi hadi kupelekea kufa kwa NBC. Hata makampuni makubwa ya West yanayowekeza kwenye miradi mikubwa mikubwa huchota pesa huko kiulaini kabisa.

BRICS Bank (sina hakika na jina lake Rasmi) waliizundua kwa mtaji mnono sana sikumbuki ni dola Bilioni ngapi lakini huenda 2018 ikaanza kazi Rasmi na hii yaweza kuwa afadhali kwa mataifa machanga na Maskin kama TZ

Hapa sijakuelewa unavyosema not the matter of cooperating ilihali mifumo iliyopo sasa hivi wapo ndani tayari. Labda nikuulize tu, unazijua MNCs zilizofanya exploration ya gas na mafuta huko South? Unawajua real owners (Shareholders) wa kampuni zinavuna Gold kwenye migodi ya Lake Zone? Unajua ilifikaje mpaka Dowans ikawa Symbion na ghalfa akaja Hilary Clinton na baadae Obama akafika pale? Nadhani bado hujajaua opereshion mode ya hawa EHM. Hivyo unavyoona Magufuli hawezi ku cooperate naona hujawatambua hawa jamaa wapo vipi.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni shetani, hivi umeliona la Muhimbili tu? Wewe lofa kweli kweli, nachukia sana watu kama wewe. Huko kote tumefikishwa na watu wezi kama lowasa
We jamaa unaharibu hii topic ni bora ukae kimya wanaojua watoe elimu kuliko we wa Zidumu fikra za mwenyekiti
 
Nakukatalia kwa sababu sisi tumedili na wenye mbwa na siyo mbwa. Ndiyo maana nimesema economic hitman ni mfumo usio rasimi. China na US mikataba yao ni minono na inafaidisha nchi yetu. Sema akina lisu na wahuni wengine walitaka wapige hela kupitia hiyo mikataba na akina mengi walitaka share ili wafanye kama walivyozoea shamba la bibi. Nyie subirini muonenchi inavypoga mchaka mchaka
Akili za KiCCM ni janga kwa Taifa
 
Huyo dada ni mpotoshaji kwa makusudi au kutokujua...

Huyu mtu ananiudhi sana watu wanatoa elimu nzuri ye analeta ujinga wake.
Mie mambo ya Economic hitman nilianza kusikia kwa Eng Habib Mnyaa bungeni wakati wanapitisha sheria za gesi kimagumashi.
Alielezea kwa kifupi na nikapata mwanga fulani.
Leo hapa watu wanatoa elimu halafu jitu jingine linapotosha kisa CCM jamaa ananiudhi sana.Huenda anajua au hajui kabisa kaamua tu kuvuruga topic ya watu
 
Huyu mtu ananiudhi sana watu wanatoa elimu nzuri ye analeta ujinga wake.
Mie mambo ya Economic hitman nilianza kusikia kwa Eng Habib Mnyaa bungeni wakati wanapitisha sheria za gesi kimagumashi.
Alielezea kwa kifupi na nikapata mwanga fulani.
Leo hapa watu wanatoa elimu halafu jitu jingine linapotosha kisa CCM jamaa ananiudhi sana.Huenda anajua au hajui kabisa kaamua tu kuvuruga topic ya watu

Huenda analinda maslahi fulani sio bure lakini ukweli uko wazi EHMs wapo sana tu. Wakati mwingine ni rahisi kuwatambua
 
Duniani kuna GENGE HATARI sana liitwalo ILLUMINATI.Genge hili linaloabudu shetani makao yake makuu yapo Marekani.Genge hili ndilo lenye KUMILIKI na KUDHIBITI taasisi zote kubwa za kimataifa zikiwemo hizi taasisi mbili MUMIANI zilizopo Brettonwoods Marekani yaani WORLD BANK na IMF.Hizi ni VAMPIRE INSTITUTIONS.Hizi ndio taasisi zinazofukarisha Afrika na Asia.
 
Mu-sir ninakielewa vizuri sana. Hizo nchi unazozitaja ni kuwa zinatawaliwa na magenge. Yaani iko kama TZ kama tungempitisha lowasa. Kwa hali ilivyo sisi tupo kama China au Russia kwa sasa. Vyombo vyetu vya ulinzi ni waadilifu na tunatawaliwa na system ambayo imejaa wazalendo, tofauti na nchi kama kenya ambayo huua mtu yeyote akiingilia dili. Tusingekuwa sawa ki usalama leo hii lowasa angekuwa rais na tungeona mtanange wa mikabata hewa na kila kitu angewasukumia wengine. Kingine ni ule umoja wetu kama watanzania, kwa mfano ondoa kipindi hiki ambacho lowasa kavuruga watu (yaani hata wachungaji walikunywa maji yake, wasomi walikunya maji yake, watetezi wa haki za binaadamu walikunywa maji yake) watanzania tumekuwa wamoja ktk kukataa uovu. Kingine lowasa na kundi lake la economi hitman walijaribu sana kutumia media, na kuhadaa wananchi ila walishindwa kwa sababu JK ni mjanja zaidi yao, maana amekuwa huko na anawajua maana walimsumbua kipindi chake sana ndiyo maana jina lowasa halikuvuka kabisa. Kwa ufupi kuna mambo mengi yapo nyuma ya pazia juu ya hawa watu. Ila kwa Dr. Magufuli na vyombo vyetu vya ulinzi nakuhakikishia hawafui dafu. Tuzidi kusherehekea tu na kutafuta fursa za biashara maana TZ inakwenda kuwa nchi ya kipato cha kati soon. Ila akina lowasa they will never rise again, that's their end. Na utaona mpaka 2020 chadema itakuwa imebaki mifupa tu.

Wewe jamaa unaongea ujinga ujinga tu hutoi mfano wowote wa connection ya lowassa na hao economic hitmen,umekalia kulia Lia nna uhakika hicho kitabu hujakisoma wala nini wenzako wakina mu-sir na wenzake wanatoa mifano vivid kama vile mfano wa bagbo wa ivory coast , mwingine kauliza je Magufuli ana strong institution kumzidi Gaddafi?Hujui chochote kuhusu economic hitmen wewe. Kazi yako ni kuchanganya siasa maji taka na vitu sensitive kwenye Maisha yetu
 
Last edited by a moderator:
LAURENT GBAGBO - french special forces walkua wanashiriki vita mtaan kabisa na waasi kumuondoa tu kwa vile kibaraka wao ana mke wa kizungu wa kifaransa ndugu idrissa outara!!!

Nikusahihishe mkuu,ni Alassane Ouatara.Huyu ni kibaraka wa mabeberu kama ilivyokua kwa Mobutu Seseko wangineo barani Africa.Saddam Hussein na Muammar Gaddafi walikataa 'utumwa' kwa mabeberu.Ukapangwa mkakati wa kuwaondoa kabisa.
 
Nikusahihishe mkuu,ni Alassane Ouatara.Huyu ni kibaraka wa mabeberu kama ilivyokua kwa Mobutu Seseko wangineo barani Africa.Saddam Hussein na Muammar Gaddafi walikataa 'utumwa' kwa mabeberu.Ukapangwa mkakati wa kuwaondoa kabisa.

Exactly brother walimtoa Gbagbo wakamuweka huyo kibaraka Oatarra na hadi sasa dili zote za mafuta kule wanachimba Makampuni ya Kifaransa tu. Niliwahi kuambiwa hadi Gavana wa benki kuu na baadhi ya advisers wa Oatarra ni Wafaransa pure.

Leo hii Libya imekuwa nchi ya madeni makubwa wakatiilikuwa na uchumi mzuri tu na Wafaransa wanachukua mafuta kule pia. Ukikataa ku bow kwa hawa jamaa hawakubakizi.
 
This is true there is nothing from them which comes for free
 
Back
Top Bottom