Miradi aliyo alinzisha magu , some dude out there mwenye uzoefu na elimu kidogo angeweza kumaliza. You dont have to be intelligent..Hakuna white elephant project Tanzania ila kuna white elephant Watawala kama huo msemo upo sijui lkn unajua ninachomaanisha, Magu alianzisha miradi ambayo ni only intelligent people can complete and run, sasa hayupo wanashindwa kila kitu, hata reli ya Dar-Moro inawashinda, Bwawa la Umeme la Nyerere nalo hawawezi wanasingizia hakuna crane, Air Tanzania hiyo Dreamliner hawajui wafanyie nini, Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, hapo utaona kwamba hakuna white elephant project ila kuna white elephant Watawala, …
Ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]tu
Je sisi tuna jambo la kujifunza baada ya kuachiwa White Elephant Projects?
Kwakweli inafikirisha sana.
Wakati wa Magu tuliambiwa SGR imefika 80% leo tunaambiwa uko chini ya 50. Je ni sababu ya kukos inteligent people kama unavyosema?Hakuna white elephant project Tanzania ila kuna white elephant Watawala kama huo msemo upo sijui lkn unajua ninachomaanisha, Magu alianzisha miradi ambayo ni only intelligent people can complete and run, sasa hayupo wanashindwa kila kitu, hata reli ya Dar-Moro inawashinda, Bwawa la Umeme la Nyerere nalo hawawezi wanasingizia hakuna crane, Air Tanzania hiyo Dreamliner hawajui wafanyie nini, Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, hapo utaona kwamba hakuna white elephant project ila kuna white elephant Watawala, …
Hizi zilishindwa yeye mwenyewe akiwepo.Amenunua ndege, tunashindwa kuendesha shirika la ndege, then tunamlaumu kwa kutuachia assets?
Hakuna white elephant project Tanzania ila kuna white elephant Watawala kama huo msemo upo sijui lkn unajua ninachomaanisha, Magu alianzisha miradi ambayo ni only intelligent people can complete and run, sasa hayupo wanashindwa kila kitu, hata reli ya Dar-Moro inawashinda, Bwawa la Umeme la Nyerere nalo hawawezi wanasingizia hakuna crane, Air Tanzania hiyo Dreamliner hawajui wafanyie nini, Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, hapo utaona kwamba hakuna white elephant project ila kuna white elephant Watawala, …
Eti white elephant; white elephant unaijua wewe? Umekariri maneno tu ambayo hata maana yake hujui? Ni mradi upi alioanzisha hayati Magufuli ambao hauna manufaa kwa wananchi au nchi? Miradi yote ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli ililenga kuiboresha Tanzania, na kuboresha maisha ya wananchi kwa ujumla. Kutokamilishwa kwa miradi baada ya yeye kuondoka hakuifanyi kuwa white elephant.
Amenunua ndege, tunashindwa kuendesha shirika la ndege, then tunamlaumu kwa kutuachia assets?
Kama ulaya na Asia wanajenga reli za kisasa ili wananchi wao wasafiri kwa urahisi, kuna ubaya gani waafrika tukiwa nazo ili tupunguze upotevu wa muda tukiwa safarini?
Mtazamo wako ni finyu sana.
Nikikumbuka yale magawio ya kitapeli kipindi cha dhalimu ya mashirika ya umma, sina hamu.
JPM alikuwa mshamba na limbukeni. Hakuwa na akili ya kuendesha uchumi.
Hakuwa na akili ya kuendesha jamii.
Hakuwa na akili ya kuendesha siasa
Hakuwa na akili hata ya kuendesha familia yake.
Huyu alikuwa ni laana kwa taifa.
Afe tena huko aliko.
Ulitaka ndege ianze kupata faida ndani ya mwaka mmoja kabla ya kumaliza gharama za manunuzi?Weka faida ya ndege iliyopatikana yeye akiwa hai.
Ulitaka ndege ianze kupata faida ndani ya mwaka mmoja kabla ya kumaliza gharama za manunuzi?
Huo uchumi uliusomea wapi?