Vile najiuliza hapa.. Hvi Danny Welbeck anaweza kua na follower wengi kuliko Cristiano Ronaldo? Kinacho mnyima Danny hawa follower n nn na kinacho mpa Cristiano hawa follower n nini?Nafikiri tuzo huamuliwa kwa kura za mashabiki na maoni ya majaji. Hizi habari za kura peke yake huwa hazitoi mshindi peke yake, mtu mwenye followers wengi atashinda hata kama sio mwanamuziki halisi. MTV naona wameliona hilo ndio maana wakina wizkidayo sasa wanapata wanachostahili.
Vipi kibabu naye kaonewa ....??ila wizkid alistahili mond ajipange tu
wanampa wanaemtaka nahisiTuzo za Africa hazieleweki sometime , Naona kila tuzo zinavigezo vyake, afrimma msanii bora West Africa OLAMIDE, Msanii bora wa mwaka MR FLAVOR, ukija AEA msanii bora wa kiume Diamond platnumz, ukija BET black coffee (yaani na kuangalia kwangu kote mtv, trace sijawahi kuiona hata nyimbo yake moja), ukija MTV MAMA best male na artist of the year wizkid, FULL MVURUGANO hata mm mwenyewe nakaa natafakari wanatumia kigezo gani kupata mshindi, mpaka sasa sielewi nasubiria AFRIMA mwezi huu sijui nao watasemaje.
daaa. wewe dada sijui mond alikukosea nini! toka jana comments zako ni negative kwa jamaaila wizkid alistahili mond ajipange tu
For some of MTV Awards, the answer is YES! Sponsor ndie mwenye FINAL say!wanampa wanaemtaka nahisi
jamani kwahiyo sponsor akikataa hupati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]For some of MTV Awards, the answer is YES! Sponsor ndie mwenye FINAL say!