brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Msanii wa Uganda eddy kenzo asema kuna namna inafanyika kuamua washindi wa mtv mama na si upigaji wa kura maana kwenye kipengele change yeye ndo alikuwa na kura nyingi akifuatiwa na mr. Flavour huku alieshinda Casper nyovest alikuwa na 3 kwa wingi wa kura