princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
BET ya msanii chipukiziVitu vingine unatumia akili ya kawaida tu....Dimond kaimba na Davido,P.Square,Flavour,Waje,Blacket,Yemi Alade alafu aende akafanye Show Nigeria asishangiliwe?
Watashangilia nyimbo zake kwa sababu zina sauti za watu wanaowajua na sio kwamba wanamkubali au kumuelewa.
Kwa Eddy ni kitu tofauti hategemei Collabo kusogeza Mziki wake ila Ana tuzo ya BET sebuleni Kwake.
Kwanza haikuwa ya msanii bora chipukizi....BET hawatoi tuzo ya msanii bora chipukizi kwa wasanii toka Africa hayo maneno sijui umeyatoa wapi.BET ya msanii chipukizi
IVC AWARD ,nilikosea!Kwanza haikuwa ya msanii bora chipukizi....BET hawatoi tuzo ya msanii bora chipukizi kwa wasanii toka Africa hayo maneno sijui umeyatoa wapi.
Ila kwa kukusaidia alibeba international viewers' choice award 2015.
Inabidi uwafanye hao wanamuonea Eddy Kenzo msanii wa kawaida kisa hategemei Collabo za Wanaigeria wajue kuwa jamaa sio mtu wa mchezo mchezo.
Na hapo aendi south Africa kufanya video Na Kina Goodfather video zake anagonga pale pale Kampala Na zinabamba mpaka BET wanampa Award.
Hebu achana na hayo kwanza,kwanini ushangilii kiba kuwa namba moja (1) hapo ???ππππKwanza haikuwa ya msanii bora chipukizi....BET hawatoi tuzo ya msanii bora chipukizi kwa wasanii toka Africa hayo maneno sijui umeyatoa wapi.
Ila kwa kukusaidia alibeba international viewers' choice award 2015.
Inabidi uwafanye hao wanamuonea Eddy Kenzo msanii wa kawaida kisa hategemei Collabo za Wanaigeria wajue kuwa jamaa sio mtu wa mchezo mchezo.
Na hapo aendi south Africa kufanya video Na Kina Goodfather video zake anagonga pale pale Kampala Na zinabamba mpaka BET wanampa Award.
Hivi kiba yupo namba ngapi hapo ...............???Vitu vingine unatumia akili ya kawaida tu....Dimond kaimba na Davido,P.Square,Flavour,Waje,Blacket,Yemi Alade alafu aende akafanye Show Nigeria asishangiliwe?
Watashangilia nyimbo zake kwa sababu zina sauti za watu wanaowajua na sio kwamba wanamkubali au kumuelewa.
Kwa Eddy ni kitu tofauti hategemei Collabo kusogeza Mziki wake ila Ana tuzo ya BET sebuleni Kwake.
Maswali yaulizwe kulingana na UMRI tafadhali.Hivi kiba yupo namba ngapi hapo ...............???
Sasa mbona mnalalamika Kora kumuweka Eddy Kenzo juu ya Dimond kama unayajua hayo?IVC AWARD ,nilikosea!
kwahiyo hao BET ni akina nani has a mpaka tuwaamini? kwamba wana select kilicho bora zaidi?!!!
Mimi naamini wanampa wanaemtaka, has a kwenye hizi IVC Awards.....
huumpa wanaemuona wao, sio mnaemuona nyie.
Hawashangilii kwa sababu ya kuimba na mtu wao, bali wanashangilia kwa sababu ya nyimbo nzuri na show nzuri za Diamond. Kuimba na mwanamziki wa nyumbani si kigezo cha kukufanya ukubalike.Vitu vingine unatumia akili ya kawaida tu....Dimond kaimba na Davido,P.Square,Flavour,Waje,Blacket,Yemi Alade alafu aende akafanye Show Nigeria asishangiliwe?
Watashangilia nyimbo zake kwa sababu zina sauti za watu wanaowajua na sio kwamba wanamkubali au kumuelewa.
Kwa Eddy ni kitu tofauti hategemei Collabo kusogeza Mziki wake ila Ana tuzo ya BET sebuleni Kwake.
Kwamba kiba kawa kibabu sana,kiasi kwamba hawezi kushindana na vijana ......??Maswali yaulizwe kulingana na UMRI tafadhali.
Kama ungeangalia show aliyofanya Juzi Nigeria usingekuja hapa kusema maneno ya hivi alafu hujui hata kwanini wasanii wanafanya Collabo.Hawashangilii kwa sababu ya kuimba na mtu wao, bali wanashangilia kwa sababu ya nyimbo nzuri na show nzuri za Diamond. Kuimba na mwanamziki wa nyumbani si kigezo cha kukufanya ukubalike.