princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
BET ya msanii chipukiziVitu vingine unatumia akili ya kawaida tu....Dimond kaimba na Davido,P.Square,Flavour,Waje,Blacket,Yemi Alade alafu aende akafanye Show Nigeria asishangiliwe?
Watashangilia nyimbo zake kwa sababu zina sauti za watu wanaowajua na sio kwamba wanamkubali au kumuelewa.
Kwa Eddy ni kitu tofauti hategemei Collabo kusogeza Mziki wake ila Ana tuzo ya BET sebuleni Kwake.