Eddy Kenzo na Shilole ndani ya penzi jipya

Eddy Kenzo na Shilole ndani ya penzi jipya

Ngoja eddy nae asafishe rungu kwa kibibi kizee cha kino
 
Mh, sitaki kuamini kama shishi anapendana na eddy.. wanawasilianaje maana shishi hajui kimombo.!
 
Kwahiyo Eddy alikuwa anamvua ya ndani wakati bado mziwanda anamvua au ????????
 
Hofu yangu tu kubwa ni zile tatoo za nuh
Ingependeza kama angeukata mkono kbsa
si alisemaga Nuhu hawez kumuacha kwan anampenda sana?
mapenzi ya watt wa siku hizi ni kazi sana
haya ule upendo aliodai Nuhu anao leo hii umeenda wapi adi anamwaga?
na huyu naye aangalie atamwaga kuimbwa sio tija.
Akitaka kujua sio ishu amuulize marehem Hidaya aliyeimbwaga na Pepe kale miaka ile alipokujaga Tz akapiga pale friends corner wimbo wa nimepoteza kipenzi changu nchini Tanzania.
 
garethonyango-1451632221227.jpg
 
Back
Top Bottom