PiedPiper77
Senior Member
- Jan 8, 2025
- 146
- 196
Ndie alie lipa pesa kwa lisu achukue fomu..ya uenyekiti taifaaHuyu risasi iligusanisha nyaya flani hapo shingoni. So don't him seriously!!
Don't him seriously.... ulitaka kusemaje kwa kiswahili?Huyu risasi iligusanisha nyaya flani hapo shingoni. So don't him seriously!!
Mmeyataka wenyewe===
CHADEMA kwisha habari yake,
Poleni sana wanachadema,
Sisi Wananchi hatuwezi kuishi kwenye tawi la CCM bora tuende kwenye mti wenyewe.
View attachment 3207332
Kivipi yaan sultani ayatola,kaguta,nkurunzinza, kagame aikael mbowe.Mmeyataka wenyewe
Halafu huyu dogo alitakiwa apatite ushauri. Hawezi kupigana na chadema huku akipigana na system. Chadema ndio wakimsemeaR.IP CHADEMA.
WATU WAMECHAGUA PESA
Haya maswali ungemuuliza mama yako kwanini alikuzaa bila idhini yakoDon't him seriously.... ulitaka kusemaje kwa kiswahili?
Sasa na wewe mbona unaanza kum'mdon't mwenzako na ameshasema usilete habari za kudontiana?ππππDon't him seriously.... ulitaka kusemaje kwa kiswahili?
Kazi ya nyaya kugusana hiyo!!Ndie alie lipa pesa kwa lisu achukue fomu..ya uenyekiti taifaa
Dunia njia _ bushokeKazi ya nyaya kugusana hiyo!!
Chadema ya aikaeli mbowe ambayo imegeuka tawi la CCM.Halafu huyu dogo alitakiwa apatite ushauri. Hawezi kupigana na chadema huku akipigana na system. Chadema ndio wakimsemea
Team Antipas wameliwa kiboga mchana kweupe