MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 424
- 765
nimecheka nashtuka nakuta watu wameninzuka wanadhani labda nimepatwa na kichaa..Huyu risasi iligusanisha nyaya flani hapo shingoni. So don't take him seriously!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimecheka nashtuka nakuta watu wameninzuka wanadhani labda nimepatwa na kichaa..Huyu risasi iligusanisha nyaya flani hapo shingoni. So don't take him seriously!!
Kaliwa Yas kapagawa dogoHalafu huyu dogo alitakiwa apatite ushauri. Hawezi kupigana na chadema huku akipigana na system. Chadema ndio wakimsemea
Don’t take himDon't him seriously.... ulitaka kusemaje kwa kiswahili?
Huna ubavu wa kuacha siasa, utaugulia kushindwa then utakunja ngumi tenaKiukweli busara kuachana na CDM na kubaki mwananchi huru
Akiharibu mwana CCM anapigwa spa na na akiharibu mwanaCDM nae unalala nae
Sio huu uhuni wa kimachame kutoka kwa baba mkwe kumrithisha mkwewe chama huku wakunja ngumu ndio tunakuwa ngazi zao
Kesho akishinda MBOWE siasa kwa heri
Rasilimali muda niliyopoteza inatosha saanaHuna ubavu wa kuacha siasa, utaugulia kushindwa then utakunja ngumi tena
Ndiyo anaenda kubaki mwenyewe na chama chake mkuuTeam Antipas wameliwa kiboga mchana kweupe 🤣💩 mbowe mnamjua mnamsikia
Hamuwezi kuamini ila huo ndio ukweli CHADEMA bye bye, mpango kazi ni gani mtajua baadae===
CHADEMA kwisha habari yake,
Poleni sana wanachadema,
Sisi Wananchi hatuwezi kuishi kwenye tawi la CCM bora tuende kwenye mti wenyewe.
You better not bring my mama onto this...Haya maswali ungemuuliza mama yako kwanini alikuzaa bila idhini yako
Hata mm itakuwa ndio mwisho wa kupigia kura chadema!Ole wao wajumbe wakosee
Just ask her!! Why are you empty??You better not bring my mama onto this...
===
CHADEMA kwisha habari yake,
Poleni sana wanachadema,
Sisi Wananchi hatuwezi kuishi kwenye tawi la CCM bora tuende kwenye mti wenyewe.
Atajiongoza yeye, familia yake, boni yai na sugu!Team Antipas wameliwa kiboga mchana kweupe 🤣💩 mbowe mnamjua mnamsikia
Yaani nashangaaga sana dogo anovopapatika na cdmTibu majeraha kijana Mungu kakuokoa, achana na CDM kabisa sababu ilianzishwa wewe ukiwa tumboni.
Kwa nini mnakuwa na kebehi mbaya hivi? Unajua ule usemi unaosema hujafa hujaumbika na Mungu hadhihakiwi? Hivi mnadhani CHADEMA itaendelea kuwepo baada ya kesho? Mbowe keshachukuwa fedha na Samia katoa amri vyombo vyote vya dola vihakikishe anapitishwa kwa nguvu kuwa mwenyekiti. Huu ndiyo mwisho wa Chadema kwani itakimbiwa na umma wabaki Mbowe na wengine.Tibu majeraha kijana Mungu kakuokoa, achana na CDM kabisa sababu ilianzishwa wewe ukiwa tumboni.
I am not a womb.Just ask her!! Why are you empty??
Sasa kumwambia mtu atibu majeraha Mungu kamponya - hapo nini tatizo mbona mnapemda kuwekea watu maneno.Kwa nini mnakuwa na kebehi mbaya hivi? Unajua ule usemi unaosema hujafa hujaumbika na Mungu hadhihakiwi? Hivi mnadhani CHADEMA itaendelea kuwepo baada ya kesho? Mbowe keshachukuwa fedha na Samia katoa amri vyombo vyote vya dola vihakikishe anapitishwa kwa nguvu kuwa mwenyekiti. Huu ndiyo mwisho wa Chadema kwani itakimbiwa na umma wabaki Mbowe na wengine.