Hujaelewa nini Mkuu...???Don't him seriously.... ulitaka kusemaje kwa kiswahili?
Atajiongoza yeye, familia yake, boni yai na sugu!
Kwa nini mnakuwa na kebehi mbaya hivi? Unajua ule usemi unaosema hujafa hujaumbika na Mungu hadhihakiwi? Hivi mnadhani CHADEMA itaendelea kuwepo baada ya kesho? Mbowe keshachukuwa fedha na Samia katoa amri vyombo vyote vya dola vihakikishe anapitishwa kwa nguvu kuwa mwenyekiti. Huu ndiyo mwisho wa Chadema kwani itakimbiwa na umma wabaki Mbowe na wengine.
Umemkebehi na hukumwambia kwa nia nzuri. Sijakuwekea maneno ila nimekukumbusha kuwa hujafa hujaumbika.Sasa kumwambia mtu atibu majeraha Mungu kamponya - hapo nini tatizo mbona mnapemda kuwekea watu maneno.
Chama cha siasa siyo jina bali ni wingi wa wanachama na mashabiki. Chama kisicho na watu wa kutosha ni sawa na chama mfu.Unajua kuwa TLP na CHAUMA bado vipo hata CUF ipo
Waliomshauri TAL kuacha nafasi ya Makamu hakufanya uchambuzi wa kina bali alitumia mihemko ya kiuanaharakati.===
CHADEMA kwisha habari yake,
Poleni sana wanachadema,
Sisi Wananchi hatuwezi kuishi kwenye tawi la CCM bora tuende kwenye mti wenyewe.
Anafuatilia mtaji wake kwa Lissu.. ameweka pesaNdie alie lipa pesa kwa lisu achukue fomu..ya uenyekiti taifaa
Jua linampiga amewekewa kivuli Cha mwavuli lakni anataka kutoka aende njee ya mwavuliHalafu huyu dogo alitakiwa apatite ushauri. Hawezi kupigana na chadema huku akipigana na system. Chadema ndio wakimsemea