Jamaa yuko mjema.
Nje ya mada: Mnaoangalia mpira kwa tbc mnawezaje wakuu, quality mbovu balaa sijui shida ni nini?
Ukiangalia chanel za dstv halafu uje kuangalia tbc unaona chenga tu.
Nilitamani kuonja ladha ya watangazaji wa tbc ila ule ukungu kideoni ulinishinda, nyie mnawezaje??