Edger kibwana anajua sana kutangaza mpira

Hahahaha!! Eti ukungu daah!

By the way hawa Tbc wamenitokaga rohoni kitambo sana.
 
Nimeangalia mechi kati ya Netherland na Equador mtangazaji ni Kitenge na Ibrahim Maestro, ila walikua hawatangazi mpira walikua wanapiga story zao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…