RTC Kagera, kama sijakoseaKagera stars ,haikuwa Kagera sugar
Nakumbuka 1993, kwnye mashindano ya Challage navikiri Yanga ikicheza na AS Villa tulipiga bao 2-1 Lunya akifunga bao la pili, Kule Uganda mpka leo kuna Mabasi yammeandikwa LunyamilaHii ni hazina, na ni vizuri anapata sifa zake akiwa ni hai bado, badala ya kusubiri atakapokufa ndio sifa zake zienee na michango lukuki kama ilivyo mazoea kwa Tanzania yenye unafiki.
Hongera sana E.J Lunyamila
Yanga imekuwa na hazina kubwa ya wachezaji Wazuri sana.
Tulisoma nae yeye anaingia F1 mi F4, lakini mechi ya Welcome F1 alitutesa sana.EDIBILY JONAS LUNYAMILA . Macho yangu yameshuhudia mengi na Moyo wangu umebahatika kujawa na hisia tosha kwa Uzalendo wa Taifa langu la Tanzania.
Miaka mingi tumekua tukiimba nyimbo za kuitukuza Nchi yetu na mashujaa na hata kuwasoma katika historia . " Tazama Ramani utaona Nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ... " au hata ubeti mwingine maarufu " ... jina lako ni tamu sana, nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni Heri Mama weee . "Hii yote ni kuipenda Nchi yetu lakini tuna mengi hatuyaimbi na kuyatukuza.
Edibily Jonas Lunyamila, miguu ya Dhahabu, kichwa chenye mamlaka ya kusoma alama zote ndani ya Uwanja, kipaji maridhawa kabisa katika ukanda huu.
Ukienda Uganda hadi leo jina La Lunyamila ni Maarufu kuliko Emanuel Okwi ni kutokana na uwezo wa maajabu wa Winga huyu .
Mwaka 1992 katika mashindano ya UMISETA kule Zanzibar kiliibuka kipaji cha Dhahabu kutoka shule ya Sekondari ya Buhangija huko Shinyanga na mwaka huo akaitwa Timu ya Taifa, bahati iliyoje.
Inasemekana Abbas Gulamali ndiye aliyekwenda kumsubiri Edibily Jonas Lunyamila mlangoni mwa chumba cha mtihani ili ampeleke Mwanza kucheza timu ya Taifa.
Nafikiri hii ndiyo sababu akacheza Yanga na mwaka 1993 akaacha alama ya Maisha yake Kule Kampala Uganda. Kwangu Mimi maisha ya soka ya Lunyamila na kipaji chake kinastahili kuimbwa kama kivutio cha Taifa na ni Hadhi ya Nyota Tano.
Nikiwakumbuka watangazaji wa zamani kina Swedi Mwinyi, Juma Nkamia, Ahmed Jongo au Charles Martin Hillary walivyokua wakitangaza soka basi mie jina linalokuja ni Lunyamila.
Unamkumbuka Edibily Jonas Lunyamila kwa lipi au nyakati gani..?
Karibu tu jangwaniNahisi huyu Jamaa ndio alisababisha mm kuishabikia yanga,
Maana kipindi hicho anacheza nilikua Mdogo hata shule siajaanza , kuna mzee tulikua tunaishi nae alikua anamsifia Sana Jamaa na alikua ni yanga nikajikuta nafuata tu upepo na kua shabiki Wa yanga
1991Ilimaliza mwaka gani pale kwa Patrick Kija?
Ilikuwa Shy Derby.Duh ..kumbe watoto wa Kija tuko wengi humu....Enzi hizo Buhangija tuna Lunyanila....Buluba Wana Nteze John....Mechi ...ilikuwa burudani sana
Lunya kama alivyopenda kuitwa ni miongoni mwa vipaji murua katika soka kuwahi kutokea nchini. Aliujua mpira nao ulimtii. Wakati wa paper ya mwisho form 4, alifanya mtihani huku akisubiriwa na gari la Gulamali nje.
Alimstaafisha beki nguli Paul Asule.Nakumbuka 1993, kwnye mashindano ya Challage navikiri Yanga ikicheza na AS Villa tulipiga bao 2-1 Lunya akifunga bao la pili, Kule Uganda mpka leo kuna Mabasi yammeandikwa Lunyamila
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Lunyanila na Nteze....ni matunda ya umiseta.....tunapoteza vipaji vingi sana kwa kupuuzia michezo mashuleni.... siku hizi Shuleni michezo haichezwi tena Kama zamani.... serikali kwenye hili imetuangusha sana....shule inafunguliwa na vibali vyote kwenye eneo la nusu eka.....hakuna viwanja vya michezo....wanaocheza mpira siku hizi ni ambao hawajafanikiwa kwenda shule....wengi vipaji hawana wanalazimisha tu.Lunyamila,Kizota, Nteze na Mmachinga vipaji hivi havitatokea hivi karibuni kwenye soka la bongo
Maajabu! na hao wachezaji kwa nini wabakubali kurubuniwa?[emoji23][emoji23][emoji23] yanga wanahiki kitabia chakuwarubuni wachezaji mfn. Tegete alitakiwa na timu nyingi za nnje wakambania hadi carer yake ikaishia Yanga
hata Msuva walitaka kumbania lkn and of the day club iliyumba kifedha na Difaa walitoa Dau kubwa ikabid Msuva aondoke bila hivyo angeondoka kama mchezaj huru na club isingepata kitu
Nakumbuka kipindi kile Manji ndo anakabilia na mashtaka kedekede...pesa za Msuva zulitusaidia sana kipindi kile viongozi wayanga walimpa baraka zote
RTC Kagera ilbadirishwa kitambo Sana ikawa Kagera stars na ndiyo iliyopigwa nane na Yanga.
Akikaa Mbezi Louis Dar Es Salaam ,siku hizi simuoni baada ya bomoa bomalunya yupo na kajaa sana aisee...
Manfred Nestory mtoto wa Nsumba sijui aliishia wapi?Ilikuwa Shy Derby.