bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Mchezaji wa Uruguay kwa jina tajwa hapo juu jana wakati a mechi ya Copa America dhidi ya Chile alipewa kadi ya pili ya njano na kumfanya apewe kadi nyekundu baada ya kumpiga kofi mchezaji wa Chile aliemtia kidole matakoni.
Jionee mwenyewe hapa ukipenda;
Jionee mwenyewe hapa ukipenda;
Kyoma umeniwahi yaani ndio nilikuwa nakuja jukwaani nipost,ila poa tu ngoja niongezee ulipoishia.
View attachment 263306
Last edited by a moderator:
