New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
DaahVp wewe unaamin kama umekandwa tano?
Waoneni huruma
Wanateseka mjue 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahVp wewe unaamin kama umekandwa tano?
AahaaaaMkuu ,umemuandama
Kila anapojificha anakukuta unamsubiri
Hakuna kupumzika
Yaani Ni henyahenya
Makolo kwa kujifariji 🤣Simba ipo ndani ya team 10 bora Africa.
Jifunze kuandika kwanza halafu ndio uchangie mtaniSimba mukiwa na mawazo funyi ya kuwaza mechi iliuzwa badala ya kusajili wachezaji vijana wenye viwango , stamina na kiu ya mafanikio hamtakaa mupate mafanikio uwanjani.
Viongozi wenu watazidi kuwadanganya kwa kutoa sababu nyepesi ili musishtuke na kuwahoji .
Fainali ya shirikisho CAF,ubingwa wa nchi na ubingwa wa shirikisho la soka la nchiMsimu uliopita yanga na simba nani kafanikiwa kuliko mwenzake???
Na nani kuchukua point nying za CAF kuliko mwenzake??
Braza hata maana ya anguko hujui? Anguko haliji kwa siku moja, linakuja taratibu na ubora unakuja taratibu pia.
Simba lzm tukubali ubovu, kisha tupange lkn kwa msimu wa jana na huu yanga wako mbele yetu kimafanikio km tulivokuwa bora dhidi yao miaka minne ya ubora wetu.
Mpaka MSEMEEMirembe inawahusu wote waliokunywa supu za kibudu kusherehekea bao tano huku hawatambuliwi na CAF kama wao ni team bora japo wao kama Uto hutambulia team bora huko buza na Mbagara
Sawa,Huyu Edo ni chawa mzee tu
Hana uchambuzi wowote
Anaganga njaa uzeeni
Hoja gani?Sawa,
Mjibu hoja zake basi
Yani hujaona hoja za Edo, au elimu huna?Hoja gani?