Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye

Mayele ni mchezaji wa kawaida sana hapa bongo alionekana mchezaji mzuri kwasababu club aliyokua anaichezea ni ya kawaida sana
Alikuwa anazifunga Club za kawaida sana.
Ngao ya jamii anapiga kisha anawageuza tena kwenye ligi kuu anachapa tu.
Anawachapa kama anakomoa anatafuta ndoa kwa lishangazi.
 
Huna akili, Edo na Azam wapi na wapi?

Unajuwa Yanga na Azam Wana mkataba wa Billion ngapi?
Kwahyo kwenye huo mkataba wa mabilioni,kuna kipengele kinamkataza azam kufanya mahojiano na mayele.?
 


Kwa bahati mbaya sana nakubaliana na Kumwembe kwa hili. Yanga imekwenda robo fainali bila yeye wakati timu yake imeshia makundi tu; hiyo inaweza kuwa factor moja kuwa Yanga inasonga mbele bila yeye.

Kubwa zaidi ni kwamba maisha ya Tanzania kwa mastaa ni mazuri sana; atakuwa anayamiss sana.
 
Ameandikwa vibaya au imesemwa ukweli?
Tuongee ukweli Mayele anazingua.
Kati ya Mayele na Feisal kwa yaliyotokea nani alifaa kusema ana uhasama na Yanga!?
Unadai Yanga inakutupia majini mbona Feisal yupo hapo Chamazi na yuko fresh!?
FAisal kwa zenji majini yalikozaliwa yanga wamemshindwa,yanga wachawi sana
 
Tanzania is such a beautiful place to live when you have money
 
Nakazia
 
Mkuu ana changanya kivipi wakati kila mashindano yana vigezo ya timu kushiriki, mfano Champion league ni kombe ambalo washiriki wake % 99 ni mabingwa kutoka kwenye ligi za nchi zao.
Hajielewi mkuu.
Anakwambia kombe la shirikisho sio kombe la CAF.
Kama sio kombe la CAF limeandaliwa na nani??
 
Naushangaa sana, akiwa Yanga alikuwa mchezaji wa kuigwa ila sasa hata sijui kawaje.
 
Mkuu huo ndo ukweli.. ukijaribu kufatilia hili sakata huwezi kuona popote uongozi wa Yanga umemletea zengwe Mayele
Yanga inapigwa vita sana, kizuri ni kuwa viongozi washajua hili na wana deal nazo vita hizi kisomi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…