Timu zinatakazo faidika na huo mgao ni Zile tu alizochezea kipindi hajafika miaka 23Mbona senzo Wa simba alisema kuwa simba haina chao kwenye biashara ya Genk Vs Aston villa?Au nae senzo hajui hilo?.
JE,Zlatan kwenda Milan nae timu zote zitapata hiyo 5%kwa timu zote alizopita ikiwepo Barca na Man U?
Hapa naona kama hii sheria hatujaielewa vizuri.Si vizuri kukopi kipande cha sheria moja na kuja kuhitimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapenda sifa yule. Kila mchezaji,kocha,kiongozi ni rafiki yake. Mara nilikwenda Milan,mara Barcelone. Yaani hivi yule alisoma fani ipi ?
Mimi sijui shule yake, ila mwenyewe kila mara anasema "alisoma na Prof. Jay" nadhani anataka tukariri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapenda sifa yule. Kila mchezaji,kocha,kiongozi ni rafiki yake. Mara nilikwenda Milan,mara Barcelone. Yaani hivi yule alisoma fani ipi ?
Mimi sijui shule yake, ila mwenyewe kila mara anasema "alisoma na Prof. Jay" nadhani anataka tukariri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Milimo yiniyo.Mleta uzi huu, na wachangiaji wengine, wanaonekana wanachuki binafsi na Eddo.
Alichoandika ni sahihi. Hiyo 5% ipo tu. Alichoongelea, ni kile cha ziada, ambacho mnakubaliana wakati wa kumuuza, ambacho Simba walikiweka wakati wanamuuza Samatta huko Mazembe. Je, Yanga walikiweka wakati wanamuuza Msuva?
Alichokiandika Eddo,,ni kuzikumbusha timu zetu kuwa makini zinapofanya biashara ya namna hiyo.
MCHAWI MCHUKIE, LAKINI SIFA ZAKE MPE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe jamaa katoka mbali. Nampa big up kwa uthubutu wake. Leo uchambuzi ndo kazi yake na watoto wanakwenda shule.Alisoma lutengano
Alafu mtu wa kwanza kumuingiza kwenye uchsmbuz wa Mpira ni salum Mwalim wakati huo yupo channel 10,eddo alikuwa anakwenda hapo na anachambua akimaliza anadakishwa 50000
Hili watu wengi naona hawalifahamu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app